Obama hana shukrani?


Kwa hiyo urais ameupata kwa dua za kabila lao na siyo kuwa kipenzi cha wamarekani siyo? Nina wasiwasi na hii ya dua! Imekaa ki-sheikh yahya zaidi. Nafikiri mimi kura alipigiwa na wamarekani kwa kumpenda tu pamoja na kampeni strong.
 

Akichaguliwa tena 2nd term ndiyo utajua kuwa hana shukrani au anayo. Hivi anawanyima wale wabaguzi hoja za uchaguzi wa 2012.
 

Umeanza la uislam tena! Hivi wewe pasipo kuweka udini hujisikii raha? Unajivunjiaheshima yako bure. Hivi uislam nao ni jambo la kujivuni kwa mtu mwenye akili hasa wakati huu wa kujitia mhanga! Mh! Pole sana
 
Namchukia huyu mjaluo anampiga Ghadaff mbona sasa halipi mishahara ya wanajeshi wa uganda wanaolinda amani kule somalia?!!!
 
Huyo sasa ni rais wa nchi ambayo viongozi wao wanategemewa kuonyesha mafanikio ya uongozi wao hamna time ya kuranda randa Afrika na watu wavivu. Wanamuangalia kwa mafanikio katika hali ya uchumi, nyadhifa za kazi, usalama, afya, elimu n.k. nae anajua yote hayo kuwa akicheza hakuna awamu ya pili atakuwa ni ' one term president'

Ni juu ya hao wanakijiji huko kenya kutumia jina la Obama kupata watalii nakustawisha jumuiya yao - zaidi ya hapo wataishia kulala tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…