mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
DEMOCRACY it's all about how you treat dissenting voices and oppositions kama mnataka aimbe kwa kutaja majambazi hana muda wa kusema maneno mengi, obama ana sifa ya kutumia maneno machache sana.
hata mikutano yake hutumia muda mfupi sana kupeleka ujumbe, kwa Tz hakuwa na haja ya kusema sana, alimaanisha, Tanznia mnahitaji serikali sikiliza kwa makini sana, sauti ya wanyonge na makundi mengine ikiwemo vyama.
Tabia za marekani hawachelewi kugeuka:
http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/12359-tanzania-acts-on-unfair-iran-ships
hata mikutano yake hutumia muda mfupi sana kupeleka ujumbe, kwa Tz hakuwa na haja ya kusema sana, alimaanisha, Tanznia mnahitaji serikali sikiliza kwa makini sana, sauti ya wanyonge na makundi mengine ikiwemo vyama.
Tabia za marekani hawachelewi kugeuka:
http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/12359-tanzania-acts-on-unfair-iran-ships