Obama hajaondoka burebure tu alisema

Obama hajaondoka burebure tu alisema

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,161
Reaction score
801
DEMOCRACY it's all about how you treat dissenting voices and oppositions kama mnataka aimbe kwa kutaja majambazi hana muda wa kusema maneno mengi, obama ana sifa ya kutumia maneno machache sana.

hata mikutano yake hutumia muda mfupi sana kupeleka ujumbe, kwa Tz hakuwa na haja ya kusema sana, alimaanisha, Tanznia mnahitaji serikali sikiliza kwa makini sana, sauti ya wanyonge na makundi mengine ikiwemo vyama.

Tabia za marekani hawachelewi kugeuka:

http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/12359-tanzania-acts-on-unfair-iran-ships
 
Wapigwe tu! Eti Tanzania is a beacon of democracy Afrika. What a joke i laughed and laughed and laughed that no less than world superpower ambassodar extraordinary fell for the ----.
 
Democracy is not about winning elections alone,it is how you treat the dissenting voices and oppositions!
 
Wala hatuna haja ya kuambiwa na Obama. Watanzania tukichoka tu tutafanya kinachopaswa kufanywa, we subiri tu utaona
 
Tatizo alitema yai kiasi kwamba hata viongozi wetu wengine walikuwa wanashangilia madongo dhidi yao bila kutafakari vizuri. Kuna uzi humu ulikuwa unauliza eti hayo aliyasema wapi? mimi nasema bora tuwe tunawekewa wakalimani wa Kiswahili kwenye speech za viongozi kama huyu wanapokuja nchini.
 
Demokrasia ni kufanya nchi itawalike; kukandamiza mawazo pingamizi kwa kutumia njia yoyote ile ili kudumisha umoja na mshikamano wa taifa - CCM.

 
DEMOCRACY it's all about how you treat dissenting voices and oppositions kama mnataka aimbe kwa kutaja majambazi hana muda wa kusema maneno mengi, obama ana sifa ya kutumia maneno machache sana.

hata mikutano yake hutumia muda mfupi sana kupeleka ujumbe, kwa Tz hakuwa na haja ya kusema sana, alimaanisha, Tanznia mnahitaji serikali sikiliza kwa makini sana, sauti ya wanyonge na makundi mengine ikiwemo vyama.

Tabia za marekani hawachelewi kugeuka:

http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/12359-tanzania-acts-on-unfair-iran-ships

Nakubaliana nawe kabisa lakini pia tusisahau kuwa la kufuata sheria katika hizo protest ndio msingi wa hiyo amani!
 
Mpaka sasa najiuliza kuwa bwana mkubwa Obama atoke kwake USA kuja kwetu kutembelea mitambo ya umeme ya Simbion tuu? Kwanza hiyo mitambo inatumia nini kuzalisha umeme huo?
 
umechukua sehemu ndogo ya speech,ameisifu sana Tanzania kwa mambo mbalimbali kama vile kukua kwa uchumi na demokrasia,changamoto pekee aliyozungumzia ni ukosefu wa umeme wa kutosha
 
Watatujua jinsi tulivyo na vichaa ambao wakiulizw atuu wanaanza lia kuwa ubeberu halafu mali ambazo kila kukich atunazipiga vita....atachukua mtu mwingine..So wamarekani ni wajanja huanza kwanza chukua mali na mikataba..halafu ndipo wanapoanza sema ukweli wao...

By the way kila mtu anajua mwafrica mlafi akishataka piga vita mali, usiponunua atapewa mtu mwingine bure ili zmuondoke tuu huyu mswahili anayeogopa kujitawala.
 
Hapo Obama alilenga zaidi kupeleka ujumbe kwa Mohamed Morsi , Rais wa Misri aliyepinduliwa jana
 
umechukua sehemu ndogo ya speech,ameisifu sana Tanzania kwa mambo mbalimbali kama vile kukua kwa uchumi na demokrasia,changamoto pekee aliyozungumzia ni ukosefu wa umeme wa kutosha

tanzania pekee ndio nchi ambayo uchumi wake unakua wakati haina vyanzo vya kutosha kuzalisha nishati.
 
President Obama Speaks at a Business Leaders Forum in Tanzania, Published on 2 Jul 2013 President Obama meets with business leaders from across Africa to discuss investment, trade and economic growth. July 1, 2013. - Source: whitehouse youtube
 
Last edited by a moderator:
President Obama Speaks at an Official Dinner in Tanzania Source: whitehouse youtube
 
Last edited by a moderator:
President Obama Speaks at Dar-es-Salaam's Ubungo Symbion Power Plant in Tanzania. Source: whitehouse youtube
 
Last edited by a moderator:
US Presidents Obama and Bush visit Tanzania memorial to victims of 1998
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom