MovingForward
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 489
- 49
Nyie watu acheni upumbavu wenu na chuki za kishenzi kwa hao gay & lesbians,hawajawachukulia chochote wala hawajawaambia muwe kama wao,hao watu wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo kama sehemu ya society yetu na hakuna chochote mnachoweza kufanya zaidi ya kuwatolea kashfa na kuwatukana matusi yote mliyofundishwa na kuonekana washenzi tuu,watu wanapendana wao nyie inawahusu nini kuwapangia namna ya kuishi,nyie mbona hamjalazimishwa kuwa chochote msichopenda,hawa watu hata mseme nini watapigania haki yao na wataipata na watatambulika na kuwa protected na laws zote zinazolinda binadamu,someni civil rights movements na arguments za mabaguzi walizokuwa wanatoa mtajiona hamna tofauti nao,na hawatasubiri approval kutoka kwa wapuuzi kama nyie ili waishi maisha yao,life goes on na soon watapata haki zao na society ita move on na kama kawaida mengine yataibuka kama yaliyopita ya ubaguzi,slavery,wars etc lakini good people will fight again.
Haha haya maneno makali kama ya nyoka aliyefurumshwa kwenye shimo yametoka na kuanzia wapi????. Wewe si umeleta thread hii ili watu watoe maoni yao? tena si umenakiri kutoka chanzo unachokifahamu?
Sasa mbona wageuka mbogo yakhe, watu wanapoachilia mawazo yao?
Yakhe wantisha mie!!