Mchicha mwiba, Mtoto si rizki, Tikiti maji, Kaka pouwa, Bwabwa, Samvu la kopo, Mtoto wa watu, Punga,...........................itaendelea!
...dont fool yourself,wamejaa wengi sana hapo Dar,Mombasa,Tanga etc kuliko hata San fransisco wanaogopa tuu kuwa wazi kwa sababu ya watu kama nyie,inawezekana hata wewe una ndugu wa namna hiyo na forget globalization,has nothing to do na kuwa gay,walikuwepo hata kabla bible haijaandikwa.
Koba tuambie ukweli, huwa "wanakugeuza...?" I am highly suspicious of your behaviour!
..hakuna mtu anatengeneza gays & lesbian na wapo before hata hizo so called government hazijaanza,sioni cha ajabu watu kama nyie kuwa forcefull against gays ila History inatufundisha tofauti sana na talking points zenu,hata mtu mweusi alikuwa haruhusiwi kuoa/kuolewa na mzungu na wengi waliamini hivyo na wengi walionewa na kunyimwa rights zao na hata kuuliwa just kwa sababu ni weusi ,hata slavery kwenye bible was legal and normal way of life,anyway these people will fight you to get their civil right na nita wasupport 100%,Europe wamekubalika na wana haki zote na more than dozen states in US wanaruhusiwa kuoana
Haikusemwa kuwa kuna mtu anaweza kutengeneza gays & lesbians, point ni kuwa wanajitahidi kutumia njia za kibaiolojia kuwa hawa wafanane na jinsia wanazotaka.
Kitu kingine labda uweke bayana, wewe unapigania haki za mashoga au ni shoga anayepigania haki yake? Please be honest!
koba,are you a gay?
i'm not!
Yes you is gay.
Nyie watu acheni upumbavu wenu na chuki za kishenzi kwa hao gay & lesbians,hawajawachukulia chochote wala hawajawaambia muwe kama wao,hao watu wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo kama sehemu ya society yetu na hakuna chochote mnachoweza kufanya zaidi ya kuwatolea kashfa na kuwatukana matusi
Yaani wanapofanywa nyuma wewe unaona sio matusi ila tunapokemea tabia hiyo ya kishetani ndio inakuwa matusi? Wake up please! Vitu vingine usije ukafikiri kuwa ni haki za binadamu kumbe ni upunguani!
...soon utakuja kujua wewe ni punguani!
...like your lesbian mother and your gay dad!
...like your lesbian mother and your gay dad!
Kha!
oh yes YOU ARE!
...yaani kwa sababu nawatetea hao gays & lesbian basi na mimi lazima niwe kama wao,so is Obama,Clinton,Brown etc wote ni gays ,debating na closed minded kama wewe ni waste of time,keep your shallowness lakini nitaendelea kuwatetea hawa jamaa na sioni ubaya wowote kwa nini wapuuzi kama wewe muwabague na bila aibu hata kazi mnataka kuwanyima and your proud of it,glad kuna watu wanamake sense hapo ofisini kwenu walikataa ombi la lenu la kipuuzi,Netherland sio issue na watu walisha move on na life yao zamani sana,doesnt matter kama wewe ni gay or straight haki zako utapata na utaheshimiwa kama raia wengine tuu