BBC Swahili
Obama:'Bhangi ni afadhali kuliko Pombe kiafya'
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa kuvuta Marijuana au Bhangi, haina hatari kubwa kwa afya ikilinganishwa na Pombe............Je ni kweli? Unadhani mtizamo wa jamii kuhusu Bhangi ni sawa?
Majimbo mawili nchini Marekani yamehalalisha Bhangi...Colorado na Washington.
Obama:'Bhangi ni afadhali kuliko Pombe kiafya'
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa kuvuta Marijuana au Bhangi, haina hatari kubwa kwa afya ikilinganishwa na Pombe............Je ni kweli? Unadhani mtizamo wa jamii kuhusu Bhangi ni sawa?
Majimbo mawili nchini Marekani yamehalalisha Bhangi...Colorado na Washington.