Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
"He got the prize because he has been able to change the international climate," Nobel Committee chairman Thorbjoern Jagland said. "Some people say, and I understand it, isn't it premature? Too early? Well, I'd say then that it could be too late to respond three years from now. It is now that we have the opportunity to respond – all of us."
naona hajabu sana kuona watu wengi wame ignore hayo maneno hapo juu kutoka kwa watoa zawadi wenyewe na kuanza kuuliza maswali mengine.jamaa zawadi ni yao na wao ndio wanaamua vigezo gani watumie kumpa mtu hio zawadi na mwaka huu ndio wametumia kigezo hicho hapo juu kumpa obama zawadi.
kitendo cha obama kuweza kuunganisha watu wakati wa kampeni mpaka kuweza kuchaguliwa kuwa raisi wa kwanza mweusi marekani hio peke yake tu inastahili hio noble peace prize lol.jamaa ana bahati muacheni tu msiwe kama republicans na nyinyi lol.
naona hajabu sana kuona watu wengi wame ignore hayo maneno hapo juu kutoka kwa watoa zawadi wenyewe na kuanza kuuliza maswali mengine.jamaa zawadi ni yao na wao ndio wanaamua vigezo gani watumie kumpa mtu hio zawadi na mwaka huu ndio wametumia kigezo hicho hapo juu kumpa obama zawadi.
kitendo cha obama kuweza kuunganisha watu wakati wa kampeni mpaka kuweza kuchaguliwa kuwa raisi wa kwanza mweusi marekani hio peke yake tu inastahili hio noble peace prize lol.jamaa ana bahati muacheni tu msiwe kama republicans na nyinyi lol.