kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
bila kusahau ubungo, mwenge na kwinginekowaachilie omba omba warudi kazini na mama ntilie na wale wauza matunda shaban robert road alah
bila kusahau ubungo, mwenge na kwinginekowaachilie omba omba warudi kazini na mama ntilie na wale wauza matunda shaban robert road alah
Muda huu rais Obama na mwenyeji wake rais Kikwete, yupo kwenye mitambo ya kufua umeme ya Symbion iliyopo Ubungo ambayo inafadhiliwa na Marekani. Anaendelea kukagua na baada ya hapo ataweka jiwe la msingi la uzinduzi.
Kinachofanyika ni mipango ya makusudi kuhalalisha watanzania kulipa madeni ya mafisadi wa Richmond. Inajulikana hata yule mwarabu aliyekuja alitokea hapa nchini akapewa ubatizo kuwa katoka huko OMAN, isingekuwa Kiongozi mkuu wa nchi ni miongoni mwa wahusika tayari hatua zingechukuliwa lakini waliohusika ndio viongozi walioko madarakani hakuna wa kuulizwa wala kuleta majibu sahihi. Pia unaona wanaJF wanachelea kutoa maoni kwa kuwa ni maumivu tu, hata wakichabgia ni sawa na kutwangia maji kwenye KINU. Umeona jinsi MBWA wanavyopekua gari la waziri wa uwekezaji ikiwa na maana kuwa hakuna anayeaminika hapa TZ.
nahisi tanzania ni ktk nchi ambazo hatakanyaga tena, wakenya na waganda walimhoji live alipokuwa kule south. majibu ya obama yalipa jibu la maswali mengi. View attachment 100485Obama hana furaha kama aliyozooleka nayo, akiwa senegal alionyesha furaha, na afrika ya kusini, lkn kwa TZ hana furaha yake tuliyomzoea
- ninamashaka
- umasikini umeshtua sana
- hata rais kikwete hakuwa akijiamini
- hali ya maisha ya watanzania ni ya kusikitisha na obama aliumia sana wakati akiwa anaelekea ikulu, watz walivyoshindwa kujizuia kuingia karibu na kingo za barabara kumuona, kisha anaambiwa nchi tajiri mali asili, na viongozi wake wamenenepeana.View attachment 100485
- obama atachukua hatua dhidi ya viongozi, View attachment 100485na ndio maana alisisitiza sana utawara bora
- lazima!
Tunahitaji Sameli sitta,mama kilango malechela,mwakyembe,membe,sendeka,selelii,mengi na kundi lao la makamanda feki walioiita rchmond/dowans/symbion kampuni fake ya lowasa na rostam waje kwenye jmavi leo kwa taarfa tu walkuwa wamejpanga barabarani kumshangilia obama kwenda ubungo kuzndua mitambo ya symbion lowasa akiwa kwa pembeni na JK watafcha wapi aibu yao hawa wazandki na wanafki wakubwa makamanda fake wa ufsadi sta na wenzake tamaa ya madaraka itawaua hawa jamaa
View attachment 100485
una mawazo ya Kike km hao viongozi wa kenya, Uganda na Rwanda (samahani si maneno yangu nimecopy na kupaste) kwa ninyi wote wenye wivu ambao hamkufuatilia ujio wake maana hamkosi matusi
Mitambo hii itatoa umeme wa megawati 400
Namtakia safari njema ila ahakikishe anafuatilia ujangili wa tembo kama alivyoahidi.Obama sasa yuko uwanja wa ndege dsm tayAri kwa safari
makamanda feki wa ufsadi samweli sta,mwakyembe,membe,sendeka,mama kilango malechela,selelii,lembeli mfadhili wao mengi na watafcha wapi aibu yao walioita symbion/dowans mradi wa lowasa leo wanapanga foleni kumpungia lowasa na obama wakielekea ubungo kuzndua mitambo aibu gani hii akna mwakyembe sku za mwzi ni arobain hakika kina mwakyembe wameaibika mchana kweupe wanafki wakubwa hawahivi anajua kwamba hiyo mitambo sio mipya? Na je ingekuwa america wangekubali itumike?