Obama Approval Rating Reaches Three-Year High In Poll

Obama Approval Rating Reaches Three-Year High In Poll

Kama ni hivyo kwa nini sasa weusi walikasirika pale Newt aliposema Obama ni food stamp president? Manake walianza kudai sijui hiyo ni racist code language....racist code language kivipi wakati wazungu wengi ndo recipients wa food stamps?
Mkuu Nyani Ngabu kilichowaudhi black ni hicho hapo chini


Limbaugh: NAACP would've cheered Romney if he promised them more food stamps

1342152364_6221_rush.jpg



Rush Limbaugh
"Imagine if Romney had told them what they wanted to hear, how would that have gone? If Romney had told the NAACP what they wanted to hear he would have said: 'Under a Romney administration we'll give even more blacks on food stamps than President Obama has.' (mocking the NAACP crowd) 'Ya right on dude, right on.' We got to be honest about this don't we? Romney got booed for articulating policies that would improve the lives of every American.-Rush Limbaugh

Washington Post
 
Hehe huffington is liberal na hicho chuo ni very liberal I live in gulford ct .ct is very lliberal state liberals are parasites all wanachotaka free food free staff very lazy .obama Haoni hata Aibu dada wa baba ake anakaa Kwenye government housing na food stamp collector uncle wako
Ndio hela mlevii na Hawa ni kutwa food stamp.liberals ni lazy sijawahi ona very jelousy of rich people .conservative states ukinunua gari cash lake njoo CT hata lako lazima tax.wanafilisi nchi .we republican we work hard and we will continue to feed you

Ungejinyamazia kama Romney, Donald Trump, Jack Welch walivyofanya! Kelele nyingi hazikusaidii wewe mke wa tajiri kuwazidi hao akina Trump na Romney; you will never change the fact that Obama is the US president for the next four years!

Kama unamwamini mungu wako mwombe hivi:

"God, grant me the serenity to accept the things I cannot change,
The courage to change the things I can,
And the wisdom to know the difference."
 
Ungejinyamazia kama Romney, Donald Trump, Jack Welch walivyofanya! Kelele nyingi hazikusaidii wewe mke wa tajiri kuwazidi hao akina Trump na Romney; you will never change the fact that Obama is the US president for the next four years!

Kama unamwamini mungu wako mwombe hivi:

"God, grant me the serenity to accept the things I cannot change,
The courage to change the things I can,
And the wisdom to know the difference."

Thanks for the prayer!
 
Kama ni hivyo kwa nini sasa weusi walikasirika pale Newt aliposema Obama ni food stamp president? Manake walianza kudai sijui hiyo ni racist code language....racist code language kivipi wakati wazungu wengi ndo recipients wa food stamps?

The comment itself is fatuous: the Party of No commenting about people using food stamps is like an arsonist blaming his victims for reaching out to the neighbors for help.

Politics in America is a contact sport,deal with it!
 
Back
Top Bottom