Kama kuna nnao wa heshimu jf kwa michango yao hekima,ushaur mzur bhas ww n no 2 maana no 1 ipo kwa mzizi mkavu anyway heshima kwakoHongera sana mpendwa, na mzidi kumtanguliza Mungu kwenye ndoa yenu. Msiache kumshukuru Mungu hata kama ndoa yenu ina siku moja, kuna watu walifunga ndoa, kufika kwenye honey moon tu zikavunjika, nyie kufikisha hiyo miaka kwenye ndoa ni kwa neema tu. Watu tumeshazoea na tunapenda kweli kusikia habari mbaya kuhusu ndoa, sijui kwa sababu ndoa zetu zishajifia ndo maana tunatamani na za wenzetu zijifie pia? Mtu akimsifia mkewe, utawasikia tu watabiri wa ndoa za watu "ndoa yenu bado mpya ooh huwajui wanawake wewe lazima tu atakuumiza", sasa usimsifie mkeo kwa sababu tu unahisi mbeleni atasumbua, jamaniiii. Mpende muheshimu, mjali na mthamini mkeo as if there is no tomorrow. Enjoy ndoa yako kiasi kwamba hata ukitwaliwa leo, utasema tu Mungu ahsante kwa ajili ya ndoa yangu. Hakuna maisha yasiyo na changamoto, hamuwezi tu kucheka siku zote 365, so tatizo likitokea, shirikianeni kwenye kulitatua, then uchekeni wakati ujao
Wengine hapa kuwaonyesha wake zao wanavyowajali au kuwapenda watakwambia si sawa. Ila subiria sasa wanavyoicare michepuko yao mtcheew. Unampenda mkeo, just muoneshe eeh, otherwise una Mtu mwingine wa kumuoneshea. Kwa nini uishi na Mtu kwa machale/kutokumiani as if kuna kitu kibaya amekufanyia? Kwa nini uishi maisha yako kwa kutumia mifano ya walioharibu maisha yao? Ndoa ni yako, itengeneze iwe vile unavyoitaka wewe. Nawatakia maisha ya amani na furaha, zibeni masikio kwa sisi tunaoendekeza mifano ya walioshindwa. Nyie mkishindwa ndo furaha yetu, maana mtaongeza list yetu ya walioshindwa eishh
Kama kuna nnao wa heshimu jf kwa michango yao hekima,ushaur mzur bhas ww n no 2 maana no 1 ipo kwa mzizi mkavu anyway heshima kwako
Nkifkia kuoa please usisite kupokea cad ya mwaliko
Ic kweli yuko positive sanaKama kuna nnao wa heshimu jf kwa michango yao hekima,ushaur mzur bhas ww n no 2 maana no 1 ipo kwa mzizi mkavu anyway heshima kwako
Nkifkia kuoa please usisite kupokea cad ya mwaliko
ic abaki nami kakaPepo mzuri amekutembelea...
a unadhani ni wote wanafurahia hivo mbona kuna jamaa zangu kibao tu wanazinguana na wake zao wakati kama huuNi kawaida mwanamke akijifungua mume hupenda zaid!
Hapo umefurahia mkeo kujifungua tu
Hongera
Nakupongeza kwa kuipenda na kuiheshimu familia yako. Raha ya ndoa umpate mnayeendana katika kila nyanjaNajua hii itaonekana tofauti
lakini hii imenitokea live, Since nimeoa nazidi kumpenda mke wangu zaidi ya kipindi tulipokua wapenzi tu kabla ya ndoa.Kipindi hicho nilikua naweza kumchukulia poa hata simu zake nilikua naweza potezea tu na nikatoka club alone
Lakini saizi ikitokea sijamuona siku chache tu napata shida sana,Na weza kuita wivu wa mapenzi lakini with very good feeling,
Kipindi amejifungua akaenda kwao kupumzika kidogo ic nyumbani palikua ovyo sana tofauti na zamiani ningefurahia uhuru na kufanya yangu.lakini nimejikuta nakua mpweke sana na nikamrudisha haraka sana,
Saizi tumepata mtoto na namuona shujaa sana kwa hali aliyopitia kipindi chote kwa ujauzito.Nimejikuta namheshimu sana bila kulazimishwa,
Sijui this feeling ni kawaida au nitofauti na kawaida?
Hahahahaa... Mkuu uzi ulivyoniamasisha nikasahau nilichotaka kusemaa..hebu comment ulivyotaka kukoment boss
Acha kumtisha mwenzio lolbado .......
subiri shetani aingie kati yenu kyakyakya utatamani uwe unalala hukohuko kazini
Nooo... Ushindwe, ktaa haya maneno hayana baraka kwakobado .......
subiri shetani aingie kati yenu kyakyakya utatamani uwe unalala hukohuko kazini
[emoji13] [emoji13] [emoji13] ndo ukweli mamaaaAcha kumtisha mwenzio lol
Heeee we kataa ukweli ndo huoNooo... Ushindwe, ktaa haya maneno hayana baraka kwako