OA KWASABABU ZIFUATAZO

Hajulikani

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
273
Reaction score
252
1. Umempata mwenza anaekidhi vigezo vyako vyovyote vile.
2. Unampenda kwa dhati mwenza wako
3. Una kipato cha kukuwezesha kulea familia
4. Moyoni kwa dhati kabisa unahisi ni wakati muafaka kuoa.


Usijidanganye utapata mwenza aliekamilika na asie na kasoro (perfect man or woman do not exist)
Usipende kusikiliza maoni ya watu san kwenye masuala ya kuoa na mapenzi( hata uzi huu usiutilie manani sana sikiliza moyo wako)
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Utaskia mwanaume anasema "Nataka nioe kwasababu kupika pika, kuosha vyombo, kufua na kudeki nakereka sana, ngoja nioe"
Fikra za hiv bado hazijapevuka kuingia kweny ndoa.
 
Usioe sababu ya genye, japokuwa genye hazina baunsa
 
mie wazo la kuoa ni kwasababu nipate watoto,full stop
 
Naoa ili niruhusiwe kupanga baadhi ya nyumba. sharti la kuwa na mke linasumbua kupata vyumba boss.
 
Naoa kwa sababu ya kupata watoto tu sina muda wa kuanza kuji jaji kuhusu hili nitakae muona anastahili kunilelea watoto wangu vzr basi sina muda wa kuanza kujadili amri..
 
Una umri gani mkuu
Utaskia mwanaume anasema "Nataka nioe kwasababu kupika pika, kuosha vyombo, kufua na kudeki nakereka sana, ngoja nioe"
Fikra za hiv bado hazijapevuka kuingia kweny ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…