Huyu mheshimiwa angekuwa anaimba taarab angekuwa na nyimbo nyingi sana na album za kutosha kumzidi hata mzee yusuph
Asubiri tarehe 16 atajua Chadema hapa Arusha ni Nzi au Nyuki. Mikakati yao yote tumeshaijua na hakika hawataiba kura hata moja na wakikaa vibaya Chadema wataiba za CCM.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ha ha ha ahaa, siku Chadema itakapofanikiwa kuiba hata kura moja ya ccm mie nakunywa sumu nitangulie mbinguni maana kazi kuikomboa inchi hii itakuwa imeisha..!Asubiri tarehe 16 atajua Chadema hapa Arusha ni Nzi au Nyuki. Mikakati yao yote tumeshaijua na hakika hawataiba kura hata moja na wakikaa vibaya Chadema wataiba za CCM.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
ameemanisha kuwa ccm haitishiki na umati wa watu na vijana wanaojaa katika mikutano ya chadema huko arusha-kwani mwisho wa siku ccm itaibuka na ushindi. aliendelea kusema kuwa hatuna haja ya kuiba tunaongea na wapiga kura. Hatuna haja ya kubisha kura zitahesabiwa mbele yenu na CCM ITASHINDA MBELE YENU. SIJAJA KUTALII HUKU. NIMEKUJA KWA KAZI MOJA TU. NITAONDOKA NA USHINDI, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI Revocatus kashaga
Hili ndilo tatizo la kuishi kwa kukalili. Kaskazini ndiyo wapi huko?Walisema CDM ni chama cha kaskazini, sasa wanatafuta nini huko?
Watu wa Arusha ni kina nani hao wakati kwenye mikutano yake ya Arusha inakuwa na watu wengi tu. Inavyoonekana ni wewe peke yako ulilisikia hilo tusi kama siyo ndoto ulizoota zilizokufanya kuamini hivyo.Alishatutukana watu wa Arusha kuwa ni mbwa. Na watu wa Arusha hawana muda wa kubishana naye, wamekubali kuwa ni mbwa na watakwenda kubweka kwenye sanduku la kura
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kidum kweli!
Yeah nilikuwa nimekuja kukucheki kama umeponaNaona umetoka wodin
ameemanisha
kuwa ccm haitishiki na umati wa watu na vijana wanaojaa katika mikutano
ya chadema huko arusha-kwani mwisho wa siku ccm itaibuka na ushindi.
aliendelea kusema kuwa hatuna haja ya kuiba tunaongea na wapiga kura.
Hatuna haja ya kubisha kura zitahesabiwa mbele yenu na CCM ITASHINDA
MBELE YENU. SIJAJA KUTALII HUKU. NIMEKUJA KWA KAZI MOJA TU. NITAONDOKA
NA USHINDI, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI Revocatus
kashaga
interesting,
hapa Arusha sio Iramba, usije ukakimbia kama Arumeru
Cmm ni nzi ndio anachomaanisha sasa chadema ni nyuki asali lazima aile kabla hajaondoka Arusha
maana yake amekubali kukiri kuwa mikusanyiko ya chadema ina watu wengi zaidi kuliko mikusanyiko ya ccm
ndugu yangu naona umeamua kutoelewe, it is ok vyovyote utakavyoelewa. Hayo maneno ya kashfa yamekuja baada ya mwigulu kuona mikusanyiko ya chadema Arusha ina watu wengi zaidi ya mikusanyiko ya ccm, ingekuwa vinginevyo asingekuja na kauli hiyo, angekuja na kauli nyingine. Hiyo ni misemo inayotumika kumaananisha kitu kingine, haitafsiriwi kama unavyotafsiri wewe. Kama ungesoma vizuri kiswahili kuanzia shule ya msingi hadi O level tu ungeelewa, ni kwa nini anasema hivyo. Kwangu mimi huo msemo wa mwigulu unaashiria ushindi kwa chadema, sina matatizo nao,mwigulu ametambua ccm wana hali mbaya arusha.ni mikusanyiko ya nzi, hivi unajua maana tabia za nzi? unajua mahali ambako nzi huwa wanakusanyika kwa wingi kuna hali gani? penye nzi wengi kuna uvundo,mzoga au in general takataka