Nzi hata wawe wengi kiasi gani hawatengenezi asali: Mwigulu

ndugu yangu naona umeamua kutoelewe, it is ok vyovyote utakavyoelewa. Hayo maneno ya kashfa yamekuja baada ya mwigulu kuona mikusanyiko ya chadema Arusha ina watu wengi zaidi ya mikusanyiko ya ccm, ingekuwa vinginevyo asingekuja na kauli hiyo, angekuja na kauli nyingine. Hiyo ni misemo inayotumika kumaananisha kitu kingine, haitafsiriwi kama unavyotafsiri wewe. Kama ungesoma vizuri kiswahili kuanzia shule ya msingi hadi O level tu ungeelewa, ni kwa nini anasema hivyo. Kwangu mimi huo msemo wa mwigulu unaashiria ushindi kwa chadema, sina matatizo nao,mwigulu ametambua ccm wana hali mbaya arusha.

hicho kiswahili ulichosoma basi hakijakusaidia, kama mpaka unashindwa kujua symbolism, basi kiswahili chako kipo hovyo! lazima uweze kuingia ndani sana kupata the intended meaning
 
hicho kiswahili ulichosoma basi hakijakusaidia, kama mpaka unashindwa kujua symbolism, basi kiswahili chako kipo hovyo! lazima uweze kuingia ndani sana kupata the intended meaning

bila shaka wewe ni wale mnaolipwa kujitoa akili na kuingia mitandaoni kutetea uozo. Ungeelewa kiswahili ungeelewa ni kwa nini mwigulu katumia statement ile.
Ulipaswa kujua ni nini kimemsukuma mwigulu mpaka kutumia symbolism, na sio ku deal na symbolism. Tatizo la watanzania mnapenda kusikia na kushabikia maneno bila hata kutafakari yatawasaidiaje, mkishasikia na kushabikia basi ndio imeishia hapohapo. Kasema hivyo, so what, yeye ni nani hapa TZ mpaka tuhamanike na kauli yake, yeye ni idiot kama ma idiot wengine tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom