Nyumbani kwetu Kilombero

Nyumbani kwetu Kilombero

2c629ad5178b10bd14519a9fbca96b6c.jpg

Sanje hiyooooo   


My Edward Lowassa akifanya kampeni mwaka 2015 KILOMBERO viwanja vya Temu karibu na benki ya NMB
244717e48d201a62d9cda18f45e4a88b.jpg



Kiwanda Cha sukari Cha KILOMBERO maarufu Kama K2
a5963f059473495ddb0646f0a34206dc.jpg



Usafiri maeneo ya Nyange,Msolwa na Mang'ula
4beb71f96e483d15ee30f214cad3fc5e.jpg



Hoteli za misosi hasa vijijiji
09308fc37095df834fa76a6c491d2c5f.jpg



Sheli za mafuta za vijijini
1d71c386f65a4cf0f8c5a23bcbaea288.jpg



Nikielekea kuziba pancha.
61d5c032b26ff3fb244d7a97de1e3ddf.jpg



Safu a milima ya Udzungwa
5c72a8d44d8f1bbd54fd75aaf79440cd.jpg




Daraja la mto Ruaha Mkuu
b78507a46a18cfff95d784032cc0b506.jpg

f90a976dfd4bb3d9b378f577d15a667e.jpg

6a20d0aca83bcfd2469bc8c3ff61fbc8.jpg



Hili daraja limejingwa mwaka 1932 na makaburu.
43305d01cd8a204416273ec07f0a2636.jpg
Unakaa kilombero sehemu Gani?
Umenikumbusha ruaha, aseh shule yangu lyahira primary school, nimecheza sana kwenye miwa
Kwel old is gold
 
Niliwahi kula mbuzi choma mitaa ya chita
 
Duh! Umenikumbusha mbali sana. Hapo kwenye kiwanda cha sukari nilifika mwaka 96/97 hivi... Long time sana. Ni zaidi ya miaka 20 sasa. Mwezi ujao itabidi nipige trip ya Kirombelo...
 
Hili daraja limejingwa mwaka 1932 na makaburu.
43305d01cd8a204416273ec07f0a2636.jpg
[/QUOTE]

VP hapa mkuu nilikamatwa kwa kosa lakuphotoa daraja hili wewe kwako naona kama imekua rahisi vp ni taratibu gani ulizifuata?
 
Utukufu kwa Mungu juu ni mahali npazuri sana. Mbarikiwe mmetunza mazingira sana .
 
2c629ad5178b10bd14519a9fbca96b6c.jpg

Sanje hiyooooo   


My Edward Lowassa akifanya kampeni mwaka 2015 KILOMBERO viwanja vya Temu karibu na benki ya NMB
244717e48d201a62d9cda18f45e4a88b.jpg



Kiwanda Cha sukari Cha KILOMBERO maarufu Kama K2
a5963f059473495ddb0646f0a34206dc.jpg



Usafiri maeneo ya Nyange,Msolwa na Mang'ula
4beb71f96e483d15ee30f214cad3fc5e.jpg



Hoteli za misosi hasa vijijiji
09308fc37095df834fa76a6c491d2c5f.jpg



Sheli za mafuta za vijijini
1d71c386f65a4cf0f8c5a23bcbaea288.jpg



Nikielekea kuziba pancha.
61d5c032b26ff3fb244d7a97de1e3ddf.jpg



Safu a milima ya Udzungwa
5c72a8d44d8f1bbd54fd75aaf79440cd.jpg




Daraja la mto Ruaha Mkuu
b78507a46a18cfff95d784032cc0b506.jpg

f90a976dfd4bb3d9b378f577d15a667e.jpg

6a20d0aca83bcfd2469bc8c3ff61fbc8.jpg



Hili daraja limejingwa mwaka 1932 na makaburu.
43305d01cd8a204416273ec07f0a2636.jpg
Nimekumbuka nilivyoenda kumfuata dem wangu Warda mke wa diwani Rama. Nikalala mbega resort. Ndio mara yangu ya kwanza kufika kilombero.
 
Back
Top Bottom