Nyumba zinapangishwa Dodoma

Nyumba zinapangishwa Dodoma

Nitakutafuta,Ngoja nione kama namimi nita appear kwenye orodha ya kundi la kwanza la watakao hamia wiki 2 zijazo alizosema mh waziri😀😀😀😀
 
Karibuni Dodoma.
Kama unahitaji Nyumba ya ama kupanga au kununua pamoja pia na Kiwanja/Viwanja Sehemu
yoyote katika Makao Makuu ya Nchi-Dodoma, Tuwasiliane.
Ni-pm

View attachment 372467
Nahitaji kiwanja cha kujenga maeneo ya kisasa au nzuguni barabarani mkuu. Niambie bei na ukubwa wa kiwanja.namba 0783085858.0715075858.0769881984
 
Alikimbia hesabu, usimlaumu sana.
ha ha ha,actually ilikuwa ni mzaha,nilitaka kusema nataka kuanza kujenga choo cha nje kwanza kwahiyo naanza na kununua kiwanja cha sqm 10,nikaona unaweza kasirika kwa kukuharibia tangazo lako,ikabidi niplay Dumb.

Ha ha ha,kwakuwa nimeona uko open for jokes sometimes,ndo nimeexpose nilichokusudia,

hata kama nilipata f ya hesabu ndo nisijue kweli meter 10 ina ukubwa gani mkuu?
 
Mie nasubiri viwanja vifike japo billion 2 ndio ninunue!
 
ha ha ha,actually ilikuwa ni mzaha,nilitaka kusema nataka kuanza kujenga choo cha nje kwanza kwahiyo naanza na kununua kiwanja cha sqm 10,nikaona unaweza kasirika kwa kukuharibia tangazo lako,ikabidi niplay Dumb.

Ha ha ha,kwakuwa nimeona uko open for jokes sometimes,ndo nimeexpose nilichokusudia,

hata kama nilipata f ya hesabu ndo nisijue kweli meter 10 ina ukubwa gani mkuu?
umejichanganya tena, mita 10 ni tofauti na square mita 10
 
Karibu na Ikulu.

Hizo bei ni za lini mkuu??? Hata kama ndio boom sio kiivo. Mimi nimenunua kiwanja mkalama sqr mita 10,000 last month(Posta mpya) sasa kule chamwino ndo iwe 30,000 kweli?
 
CoglS64UAAEGRI2.jpg
Hizo bei ni za lini mkuu??? Hata kama ndio boom sio kiivo. Mimi nimenunua kiwanja mkalama sqr mita 10,000 last month(Posta mpya) sasa kule chamwino ndo iwe 30,000 kweli?
The higher the demand.....?
 
Nitakutafuta,Ngoja nione kama namimi nita appear kwenye orodha ya kundi la kwanza la watakao hamia wiki 2 zijazo alizosema mh waziri😀😀😀😀

Mostly welcome mkuu. Nitaku-pm Mawasiliano.
 
Nahitaji kiwanja cha kujenga maeneo ya kisasa au nzuguni barabarani mkuu. Niambie bei na ukubwa wa kiwanja.namba 0783085858.0715075858.0769881984
Kisasa cha pili toka kwenye lami kina 20 kwa 40. Na Nzuguni karibu na ambako stand ya mabasi itakapoamia kipo cha ukubwa wa 50 kwa 70. Nkuhungu cha ukubwa wa 650sqm. Check your inbox kwa details zaid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom