GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 5,063 Reaction score 6,764 Jul 16, 2015 #1 Habarini wadau, Weekend ijayo natarajia kuwa Arusha.Naomba anaefahamu nyumba za wageni za bei nafuu na zaidi sana zenye usalama anijuze zilipo. Nawasilisha.:typing:
Habarini wadau, Weekend ijayo natarajia kuwa Arusha.Naomba anaefahamu nyumba za wageni za bei nafuu na zaidi sana zenye usalama anijuze zilipo. Nawasilisha.:typing:
MatikaC JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 1,190 Reaction score 479 Jul 16, 2015 #2 bei nafuu na usalama hazikai kwenye equation moja 🙂
dyuteromaikota JF-Expert Member Joined Apr 30, 2013 Posts 5,936 Reaction score 8,345 Jul 16, 2015 #3 mbona kama unalalamika........!!!!??? kwani wewe umejipangaje?? (in mangi's voice)
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Jul 16, 2015 #4 Kuna moja ipo maeneo ya Unga Ltd ni 2500/= tu mkuu lakini asubuhi tegemea kuamka na chawa SINA IMANI NA UKAWA
Kuna moja ipo maeneo ya Unga Ltd ni 2500/= tu mkuu lakini asubuhi tegemea kuamka na chawa SINA IMANI NA UKAWA
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,875 Jul 16, 2015 #5 Limpopo guest house...... Masabeda guest house....... Ngiwaranecha guest house....... Mashele guest house........ Niendelee.....?.......
Limpopo guest house...... Masabeda guest house....... Ngiwaranecha guest house....... Mashele guest house........ Niendelee.....?.......
Ryaro wa Ryaro JF-Expert Member Joined Oct 4, 2010 Posts 2,659 Reaction score 1,430 Jul 16, 2015 #6 Bei Nafuu Kwa Swala la Usalama na safi Sahau ni Zero. Kwa style Hiyo ya Kubania Allowances, Jiandae Utanukiwa na Mi-papuchi ya MaCD wa AR
Bei Nafuu Kwa Swala la Usalama na safi Sahau ni Zero. Kwa style Hiyo ya Kubania Allowances, Jiandae Utanukiwa na Mi-papuchi ya MaCD wa AR
Sugarsukari JF-Expert Member Joined Mar 17, 2015 Posts 743 Reaction score 835 Jul 17, 2015 #7 . Mbulu guest house,nyuma ya Frorida.Elfu 15 self.single elfu 8.
GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 5,063 Reaction score 6,764 Jul 17, 2015 Thread starter #8 Ha ha ha ,Kama unajibu nitonye tu mkuu.
GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 5,063 Reaction score 6,764 Jul 17, 2015 Thread starter #9 Ryaro wa Ryaro said: Bei Nafuu Kwa Swala la Usalama na safi Sahau ni Zero. Kwa style Hiyo ya Kubania Allowances, Jiandae Utanukiwa na Mi-papuchi ya MaCD wa AR Click to expand... Du...:redfaces:
Ryaro wa Ryaro said: Bei Nafuu Kwa Swala la Usalama na safi Sahau ni Zero. Kwa style Hiyo ya Kubania Allowances, Jiandae Utanukiwa na Mi-papuchi ya MaCD wa AR Click to expand... Du...:redfaces:
GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 5,063 Reaction score 6,764 Jul 17, 2015 Thread starter #10 Preta said: Limpopo guest house...... Masabeda guest house....... Ngiwaranecha guest house....... Mashele guest house........ Niendelee.....?....... Click to expand... Endelea mkuu, zikiwa nyingi kama wagombea wa CCM ndio safi.:teeth:
Preta said: Limpopo guest house...... Masabeda guest house....... Ngiwaranecha guest house....... Mashele guest house........ Niendelee.....?....... Click to expand... Endelea mkuu, zikiwa nyingi kama wagombea wa CCM ndio safi.:teeth:
born to win JF-Expert Member Joined Jun 21, 2015 Posts 561 Reaction score 168 Jul 17, 2015 #11 Bei rahisi na usalama wapinawapi Kama unataka vya rahisi usalama hakunaga
GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 5,063 Reaction score 6,764 Jul 17, 2015 Thread starter #12 MatikaC said: bei nafuu na usalama hazikai kwenye equation moja 🙂 Click to expand... Uzoefu wako kwa Arusha tafadhali.
MatikaC said: bei nafuu na usalama hazikai kwenye equation moja 🙂 Click to expand... Uzoefu wako kwa Arusha tafadhali.
bab-D JF-Expert Member Joined May 2, 2015 Posts 1,333 Reaction score 402 Jul 17, 2015 #13 Tafuta geleji ya mtei uliza inapopaki joldan ya mwanza maeneo hayo gest bei poa
H hamy86 New Member Joined Jun 13, 2015 Posts 4 Reaction score 1 Jul 17, 2015 #14 Shauri moyo guest house
Kwezere Senior Member Joined Jan 29, 2014 Posts 162 Reaction score 81 Jul 17, 2015 #15 Jovan iko nyuma ya galaxy club 30000.
Twilumba Platinum Member Joined Dec 5, 2010 Posts 13,468 Reaction score 16,168 Jul 17, 2015 #16 Victoria Green leaf lodge Bei zinarange 20-25k Km upo serious nkupe # ya simu!
denoo49 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2011 Posts 6,113 Reaction score 6,953 Jul 17, 2015 #17 We ni me au ke?
GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 5,063 Reaction score 6,764 Jul 18, 2015 Thread starter #18 Twilumba said: Victoria Green leaf lodge Bei zinarange 20-25k Km upo serious nkupe # ya simu! Click to expand... Seriously! Fanya hivyo mkuu.
Twilumba said: Victoria Green leaf lodge Bei zinarange 20-25k Km upo serious nkupe # ya simu! Click to expand... Seriously! Fanya hivyo mkuu.
GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 5,063 Reaction score 6,764 Jul 18, 2015 Thread starter #19 denoo49 said: We ni me au ke? Click to expand... Ni Me&Ke Ushauri wako mkuu!.:redfaces:
bab-D JF-Expert Member Joined May 2, 2015 Posts 1,333 Reaction score 402 Jul 18, 2015 #20 Twilumba said: Victoria Green leaf lodge Bei zinarange 20-25k Km upo serious nkupe # ya simu! Click to expand... Ninavyo jua mm "k" ni kilo (laki) kwa hiyo unamaanisha 250 000? au
Twilumba said: Victoria Green leaf lodge Bei zinarange 20-25k Km upo serious nkupe # ya simu! Click to expand... Ninavyo jua mm "k" ni kilo (laki) kwa hiyo unamaanisha 250 000? au