kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,890
Ni mara ya pili nauliza na kujiuliza hili swali kuna mtu humu jf ashawahi kununua hizo nyumba??maana kiukweli hii mambo ya mbagala na chamazi inaconfuse sana wakuu
Maana kila siku zinapostiwa nyumba zipo nzuri sana halafu naomba mnipe info hao jenga uza ni mtu mmoja au kampuni mmoja anajenga nyumba zote hizo au ni jenga uza tofauti tofauti
Hili jambo limekua confused sana hadi wakala wa nyumba na majengo wanapaswa wazifanyie check up hizo nyumba maana inachanganya kweli
Please natamani sana kujua in deeply kama kuna mtu humu amewahi kununua hizo nyumba atoe ushuhuda hapa ili asaidie au kuokoa wengine!!!!!
Maana kila siku zinapostiwa nyumba zipo nzuri sana halafu naomba mnipe info hao jenga uza ni mtu mmoja au kampuni mmoja anajenga nyumba zote hizo au ni jenga uza tofauti tofauti
Hili jambo limekua confused sana hadi wakala wa nyumba na majengo wanapaswa wazifanyie check up hizo nyumba maana inachanganya kweli
Please natamani sana kujua in deeply kama kuna mtu humu amewahi kununua hizo nyumba atoe ushuhuda hapa ili asaidie au kuokoa wengine!!!!!