Nyumba ya Nyerere Msasani yavamiwa!

Nyumba ya Nyerere Msasani yavamiwa!

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,199
Reaction score
162,747
Katika hali ya kushangaza,nyumba ya baba wa Taifa,mwalimu Nyerere, iliyoko huko Msasani jijini Dar-es-salaam, imevamiwa usiku na inadaiwa vitu kadhaa vimeibiwa vikiwemo TV,Computer na vitu vingine.

CHANZO:Habari Leo.

MY TAKE:
Hivi hii si aibu kwa serikali inayotamba kumuenzi baba wa taifa?
 
Usalama wapo wapi? Hii ni laana sasa!
 
Mkuu Salary slip unataka kuniambia ulinzi uliokuwepo pale kwa mwalimu serikali imeusitisha?
 
Katika hali ya kushangaza,nyumba ya baba wa Taifa iliyoko huko Msasani jijini Dar-es-salaam, imevamiwa na inadaiwa vitu kadhaa vimeibiwa vikiwemo TV,Computer na vitu vingine.

CHANZO:Magazeti CHANNEL TEN

MY TAKE:
Hivi hii si aibu kwa serikali inayotamba kumuenzi baba wa taifa?

wewe ukilala funga mlango wako vizuri kama kuna mhuni atakuingilia. Si kila jambo ni kulaumu serikali ht mtu akijisaidia bila kuchamba mtasema serikali
 
Only in Tanzania... IGP anaibiwa, balozi anawakilisha nchi yake anaibiwa simu lkulu, sasa nyumbani kwa Nyerere father of nation.

Who cares?

kuna watu wanafanya hujuma ili serikali ilaumiwe tena wanatumwa na vyama vyao vya siasa
 
Kwani pale ana kaa nani siku hizi? Ulinzi ni kwa mtu sio nyumba. Kuna kaa nani pale wa kulindwa na serikali?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kaibiwa balozi akiwa ikulu ndio itakuwa huko kwa baba wa nchi msasani kwa wamakonde?!
 
Only in Tanzania... IGP anaibiwa, balozi anawakilisha nchi yake anaibiwa simu lkulu, sasa nyumbani kwa Nyerere father of nation.

Who cares?

Kilichobaki ni siku moja kusikia Ikulu nako kumevamia!

Kuishi Tanzania ni kuona mengi!
 
Tatizo watz hawaaminiki. Unamkaribisha mtu vzr anakula akishiba akianza kutoka anaondoka na vitu
 
Back
Top Bottom