Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,199
- 162,747
Katika hali ya kushangaza,nyumba ya baba wa Taifa,mwalimu Nyerere, iliyoko huko Msasani jijini Dar-es-salaam, imevamiwa usiku na inadaiwa vitu kadhaa vimeibiwa vikiwemo TV,Computer na vitu vingine.
CHANZO:Habari Leo.
MY TAKE:
Hivi hii si aibu kwa serikali inayotamba kumuenzi baba wa taifa?
CHANZO:Habari Leo.
MY TAKE:
Hivi hii si aibu kwa serikali inayotamba kumuenzi baba wa taifa?