Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,735
Hapo kwenye fensi kwa mji kama Dar itabidi uweke na waya wa umeme kuzunguka fensi,maana unaweza ukakuta magari yako yote asubuhi moja yako kwenye mawe yame yamebakia body tupu...
Au ufuge jini, awe mlinzi wako, mbona easy tu
Sent from my iPhone using JamiiForums



