Nyumba ya kupanga!

Aimbe Kwa melody wapi!!! Hana lolote makelele matupu
 
unaenda kupanga ili upate eneo la kilimo c ndio? Single mazeri mnatabu sana
 
Tafuta kazi ufanye mkuu
 
Jenga nyumba yako ndio ulime bustani!!!!!
 
Dada punguza kihoroo!

Au hii kesi isubiri tu, afya yako ya akili bado haipo stable.
 
Ndo ninachofanya saizi akianza tu kuimba imba vinyimbo vyake nafungulia sabufa Hadi mwisho Sasa naumia sometime sauti ya sabufa Kali inaumiza masikio
Washa halafu utoke asikuone 😅
 
Kuna wamama/wa dada kila kitu kwao nikikubwa na hasa wanaokaa pekeyao bila wanaume/ambao hawajaolewa,sijajua ni hormones imbalance or stress za maisha,hapo sio kwako lkn unataka sehemu yakulima mboga,Ww umepanga kwa mpangaji mwenzako au mwenye nyumba?
 
Mbona hasira dada usingle mother sio kilema rudi ujishushe kwa mzazi mwenzio la.watakutumia na kukimbia huzuni😡
Kuna mbwa fulani iv wakizungu siwapendagi humu jf basi tu!!!! Wanafatiliana Sana!!! Kwani u single mother ni dhambi!!!!
 
Kuna mbwa fulani iv wakizungu siwapendagi humu jf basi tu!!!! Wanafatiliana Sana!!! Kwani u single mother ni dhambi!!!!
Ata wakitumia naazimaga ya dada Ako si natumia ya kwangu🤣🤣🤣
 
Hata dada Ako anaweza kuwa single mother ni swala la mda 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…