Xidian
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 503
- 149
Salaam wana JF, Kuna nyumba inapangishwa kinondoni B. Vyumba 2, kimoja ni master na kingine cha kawaida. kuna sitting room, Kitchen with Fence, maji na umeme.
BEI: TSH.250,000/=( Strictly no negotiation/dalali) Nyumba ilmelipiwa mwaka mzima na mpangaji anaondoka miezi miwili nyuma, kwa hiyo utakachotakiwa ni kulipia kwanza miezi miwili ili kumrudishia mpangaji anayeondoka, then baada ya miezi miwili utaripa kodi ya either miezi 6 au mwaka.
Aanayehitaji naomba anitafute haraka iwezekanavyo.
Faida: hakuna dalali kwa hiyo hulipi chochote zaidi ya hiyo pesa ya pango.
BEI: TSH.250,000/=( Strictly no negotiation/dalali) Nyumba ilmelipiwa mwaka mzima na mpangaji anaondoka miezi miwili nyuma, kwa hiyo utakachotakiwa ni kulipia kwanza miezi miwili ili kumrudishia mpangaji anayeondoka, then baada ya miezi miwili utaripa kodi ya either miezi 6 au mwaka.
Aanayehitaji naomba anitafute haraka iwezekanavyo.
Faida: hakuna dalali kwa hiyo hulipi chochote zaidi ya hiyo pesa ya pango.