mbombo mte
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 713
- 197
Na maji pia yapo. Ipo Ukonga Banana mawasiliano 0716421233.
Mrembo anataka maeneo ya Mwenge.
Na maji pia yapo. Ipo Ukonga Banana mawasiliano 0716421233.
Mkuu unawapenda wasukuma na wanyakyusa eeh?! :|
350 nikupe Ubungo pembeni ya Sharon hotel. Master , vyumba 2 jiko store na sebule kubwa.
Chumba kimoja kikubwa,sebule kubwa,tiles,maji 24hrs,umeme luku ya kwako pekee,feni ipo,jiko na toilet zipo ndani, mita 30 toka main road. Mandela road near external bei LAKI TATU. SMS 0753-177788. NAWEZA KUCHUKUA WAPANGAJI SITA. YOU ARE ALL WELCOME. Kwa wanachuo mkiwa sita kila mmoja akatoa elfu hamsini nitawawekea vitanda.
JAMANI WAUNGWANA BASI ANGALAU IWE NJIA HII YA TEGETA ,AFIKANA,MBEZI NA KUELEKEA MWENGE DAAA NIMESGAMBULIWA KWELI SAS NA WW JAMBAZI UNANIAMBIA NIKANUNU GAZETI NIJIPEPEE KWELI? KWANI 150 ni ndogo?