SIFA: Iwe haijakamilika (half-built). Iwe ina vyumba vinne vya kulala. Iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki. Kiwanja chake kiwe na ukubwa usiopungua mita za mraba 700. Nyumba iwe maeneo ya Boko, Bunju, Mbweni, Mivumoni au kigamboni. Bei ya mauzo isizidi 110mil. Kama unayo tuma picha zake na maelezo katika whatsapp 0755312233.