Nyumba hiyo hapo chini nahitaji mtu wa kunirudishia hela kwa miezi 3 iliyobaki. Nilipanga tangu tarehe 15.06.015 na kodi inaisha tarehe 15.12.2015. Kodi yake ni shilingi laki mbili kwa mwezi. Nyumba ina vumba viwili vya kulala kimojani master, Sebule kuwa tu, jiko na choo cha public ndani kwa ndani. Kwa miezi mitatu iliyobaki ingekuwa 600,000 lakini mimi naomba nipatiwe 400,000 tu. Nyumba yangu imeisha na haina mtu wa kukaa nahitji kuhamia haraka iwezekanavyo.
Nyumba hii ipo pugu Dar es salaam, Umeme na maji ya uhakika kabisa. Atakaye hitaji awasiliane ami kwa simu au PM. 0717441943
Nyumba hii ipo pugu Dar es salaam, Umeme na maji ya uhakika kabisa. Atakaye hitaji awasiliane ami kwa simu au PM. 0717441943