Nyumba ni kaburi lenye milango na madirisha lililojengwa juu ya ardhi

Nyumba ni kaburi lenye milango na madirisha lililojengwa juu ya ardhi

KABURI ni sehemu ya mauti/ufu/ni mlango wa kizimu.

KABURI au mauti sio jambo la heri ni jambo la msiba na hakuna ambaye anapenda ni jambo baya.
KIFO mauti hakuna anayependa

pia kaburi ni mlango wa KUZIMU na ROHO ZA MAUTI
Marko 5
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo
5 Wakafika upande wa pili wa ziwa wakaingia katika jimbo la Wagerasi. 2 Yesu alipotoka kwenye mashua, mtu mmoja mwenye pepo mchafu alitoka makaburini akaja kukutana naye. 3 Mtu huyu aliishi makaburini wala hakuna aliyeweza kumfunga hata kwa minyororo , 4 kwa maana mara nyingi alipofungwa kwa minyororo mikononi na vyuma miguuni, aliivunjavunja na hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda. 5 Usiku na mchana alikaa makaburini na milimani aki piga makelele na kujikatakata kwa mawe

KUOTA NDOTO UPO MAKABURINI AU KUONA MAKABURI NDOTONI ..

ni ndoto mbaya inayoashiria hatma ya mauti .

KUFANANISHA nyumba yako unapoishi na KABURI ni kitu kibaya kiroho,kama ndivyo unavyo ona nafsini mwako kuwa nyumba yako ni kaburi.
Mit 23:7
Maana aonavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo.

NINI CHA KUFANYA.
Kataa hiyo ROHO YA MAUTI NA KIFO..kemea NI KITU KIBAYA ,na maneno huumba ukijitamkia kuwa nyumba yako ni KABURI ni kama unajilaani mwwnyewe na unakaribisha ROHO ZA MAUTI na kaburi.
Mungu akusaidie.

.
 
KABURI ni sehemu ya mauti/ufu/ni mlango wa kizimu.

KABURI au mauti sio jambo la heri ni jambo la msiba na hakuna ambaye anapenda ni jambo baya.
KIFO mauti hakuna anayependa

pia kaburi ni mlango wa KUZIMU na ROHO ZA MAUTI
Marko 5
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo
5 Wakafika upande wa pili wa ziwa wakaingia katika jimbo la Wagerasi. 2 Yesu alipotoka kwenye mashua, mtu mmoja mwenye pepo mchafu alitoka makaburini akaja kukutana naye. 3 Mtu huyu aliishi makaburini wala hakuna aliyeweza kumfunga hata kwa minyororo , 4 kwa maana mara nyingi alipofungwa kwa minyororo mikononi na vyuma miguuni, aliivunjavunja na hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda. 5 Usiku na mchana alikaa makaburini na milimani aki piga makelele na kujikatakata kwa mawe

KUOTA NDOTO UPO MAKABURINI AU KUONA MAKABURI NDOTONI ..

ni ndoto mbaya inayoashiria hatma ya mauti .

KUFANANISHA nyumba yako unapoishi na KABURI ni kitu kibaya kiroho,kama ndivyo unavyo ona nafsini mwako kuwa nyumba yako ni kaburi.
Mit 23:7
Maana aonavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo.

NINI CHA KUFANYA.
Kataa hiyo ROHO YA MAUTI NA KIFO..kemea NI KITU KIBAYA ,na maneno huumba ukijitamkia kuwa nyumba yako ni KABURI ni kama unajilaani mwwnyewe na unakaribisha ROHO ZA MAUTI na kaburi.
Mungu akusaidie.

.
Miaka 20 ijayo utakuwa wapi?
 
Nyumba ni kaburi lenye milango na madirisha lililojengwa juu ya ardhi; Ile kufungua mlango na kuingia ndani na kujifungia, ni sawa na maiti inayotembea kujifungia kwenye kaburi lililojengwa juu ya ardhi. Je, wakuu mnakubaliana na hoja yangu?​
Kwa hiyo sisi wenye wapangaji tumeoangisha maiti kwenye makaburi yetu
 
Miaka 20 ijayo utakuwa wapi?
Kuna vitu viwili tofauti ambavyo havifanani.
1)KIFO kipo kwa kila mtu mwanadamu hiyo ni fact hata kisayansi ni kwa viumbe hai sifa moja wapi viumbe hai HUFA ni fact sukatai.

2)kuna jambo lingine tofauti na la kwanza,tifauti kabisa kusema NYUMBA yako ingali ukiwa hai KUWA NI KABURI.

1 na 2 hazifanani.

hakuna falsafa kama hiyo..hata kwa wanafasafa wakongwe kina plato aristotle n.k

KIFO KIPO hakuna anayepinga

lakini nyumba yako siyo kaburi.
 
Kuna vitu viwili tofauti ambavyo havifanani.
1)KIFO kipo kwa kila mtu mwanadamu hiyo ni fact hata kisayansi ni kwa viumbe hai sifa moja wapi viumbe hai HUFA ni fact sukatai.

2)kuna jambo lingine tofauti na la kwanza,tifauti kabisa kusema NYUMBA yako ingali ukiwa hai KUWA NI KABURI.

1 na 2 hazifanani.

hakuna falsafa kama hiyo..hata kwa wanafasafa wakongwe kina plato aristotle n.k

KIFO KIPO hakuna anayepinga

lakini nyumba yako siyo kaburi.
Nani aliyesema nyumba sio kaburi?
 
Nani aliyesema nyumba sio kaburi?
Kanuni zinasema two premises lazima ziwe zinahusiana.

either way iwe descriptive au analytical ,two premises lazima ziwe zina relate.

kwako kanuni imeenda kinyume.
1)Premise yako No 1 ni hii=Nyumba wanayoishi binadamu waliohai.

2)premise ya pili...KABURI
Ambapo kaburi ni nyumba inayohifadhia maiti binadamu wasio na uhai.

uka draw conclusion kuwa
NYUMBA YAKO (wewe uliye hai)ni sawasawa na KABURI(nyumba ya binadamu wasio hai.
 
1)binadamu wote HUFA,(kweli)
2)binadamu wote waliohai wanaishi kwenye nyumba(kweli)

CONCLUSION ;Kwa vile binadamu wote hufa na binadamu walio hai huishi ndani ya nyumba,basi NYUMBA ZAO ni sawa na Makaburi
nyumba zao ni makaburi (SIO KWELI)

kwasababu
Kaburi ni nyumba wanayohifadhiwa sitiriwa binadamu baada ya kufa ila akiwa hai anajisitiri anaishi katika nyumba.

sio kweli kwasababu
Kuishi(kuwa hai) ni kinyume cha kufa.(kukosa uhai)

Hakuna uhusiano kati ya two premises zako.IRRELEVANT--umechanganya mambo.
 
Nimeelewa unachomaanisha, lakini sioni nyumba kama kaburi.
Nyumba ni sehemu ya kuishi, kujenga maisha na kupata amani.
Inategemea mtu anavyoitumia, siyo nyumba yenyewe.
Ukiulizwa, kaburi unaloishi limewekezwa kwa bati au vigae?
 
Back
Top Bottom