Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,803
- 179
View attachment FLOOR_PLAN[1].pdfWakuu,
Nikiwa ni mdau hapa jamvini, napenda kuwatangazia kuwa nauza moja ya nyumba zangu ambayo nimeijenga eneo la Kinyamwezi-Chanika kama ifuatavyo:-
1. Ina 2-bedrooms,
2. Ina 1-master bedroom,
3. Ina dinning,
4. Ina kitchen,
5. Ina stoo ndogo,
6. Ina veranda 2 i.e (ya mbele na uwani),
7. Ina eneo la fence/frames kwani kuna barabara ya mtaa yapita,
8. Gari zafikika.
9. Umeme (nguzo tayari zimetandazwa)
10. Bado sijakipima waila baadhi ya majirani wameshapimiwa na offer tayari.
CONDITIONS:
a) Haijaezekwa bado,
b) Imejengwa kwa viwango vyote tangu msingi mpaka rinta (msingi na rinta nondo zake ni za kusukwa),
REASON TO SALE:
Ukata, hali mbaya kiuchumi, kushindwa kuimalizia.
Bei ni Tsh: 30Mil.
Kwa mawasiliano nami mwenye mali ni:-
0715-988888
0779-333334
Nikiwa ni mdau hapa jamvini, napenda kuwatangazia kuwa nauza moja ya nyumba zangu ambayo nimeijenga eneo la Kinyamwezi-Chanika kama ifuatavyo:-
1. Ina 2-bedrooms,
2. Ina 1-master bedroom,
3. Ina dinning,
4. Ina kitchen,
5. Ina stoo ndogo,
6. Ina veranda 2 i.e (ya mbele na uwani),
7. Ina eneo la fence/frames kwani kuna barabara ya mtaa yapita,
8. Gari zafikika.
9. Umeme (nguzo tayari zimetandazwa)
10. Bado sijakipima waila baadhi ya majirani wameshapimiwa na offer tayari.
CONDITIONS:
a) Haijaezekwa bado,
b) Imejengwa kwa viwango vyote tangu msingi mpaka rinta (msingi na rinta nondo zake ni za kusukwa),
REASON TO SALE:
Ukata, hali mbaya kiuchumi, kushindwa kuimalizia.
Bei ni Tsh: 30Mil.
Kwa mawasiliano nami mwenye mali ni:-
0715-988888
0779-333334