Kitendo cha Mama Yono kutangaza mara kadhaa kua mshindi atapanda gari ya serikali wakiwa na maafisa usalama ili waende Bank ilijonyesha walishakua na wasiwasi na huyo bidder. Lakini vilevile ninavoona uwepo wa askari wengi, TRA na watu kutoka vyombo vingine vya usalama kama alivokua akinadi mwendesha mnada kunatoa taswira mnada huo ni zaidi ya mnada wa kawaida na labda kuna kitu wanahisi. Ndio maana kuna wanaosema yeyote atakae nunua nyumba hizo ataanza kufatiliwa ijulikane source ya hela yake,ulipaji wake wa kodi n.k. Tuangalie sinema hii hadi mwisho
Sio kama Saddam Rais wa Kuwait?dr.shika ni tapeli kama Mbowe
AhahahaaaaaaSshkamoo dokta... mi mgumu wa kutoa shkamoo ila leo nimeitoa kiroho safi kabisa
Hahahahaha kama nawaona vileakipepewa siku ya mnada baada ya kuwashinda wenzake kwa dau la milioni mia kila nyumba \\
OVERConfidence!!! Dude got B@llsYaani huyu mdingi gharama ya appearance yake haifiki 10000.
Halafu kasimama dete kununua Mali za mabilioni na wakamskiliza.
Kunna watu wana confidence.
Lmao
Huna point kaa kimyaa mamaHawa watamlilia ajiunge nao huko kwa wapinzani..
yomboo
mrangi
christelly
Chakaza
Salary Slip
kisu cha ngariba
Waterloo
MENGELENI KWETU
Kipapatiro
Mama_Aheshimiwe
MWALLA
OKW BOBAN SUNZU
Mmawia
Mwana Mtoka Pabaya
n.k.
Mtafurahi sana nimewatag.. eeeh
Ma dk. Shika
Huna point kaa kimyaa mama
Hahahahah Mrs DAB bhana wala siwezi kuumiza akili yangu kwa sababu ya comments zakoJiangalie sura ujipige vibao kwanza kudakia kama vile nimekutagi... wewe ndio hata huna akili ya kuwa Dr. Shaka.. bali milembe kunakuhusu
Hahahahah Mrs DAB bhana wala siwezi kuumiza akili yangu kwa sababu ya comments zako
Jifunze kusoma na kuelewa nimeandika "kamuulizie" huelewi hilo neno? Unashangaza sana mkuuAkamuulize marehemu?,wapi?
Aliomba laptop ili alipie kwa mtandao. Inawezekana tatizo ni hatukujipanga kupokea pesa kimtandao. Serikali haina utaratibu huo. Sasa Hutu pesa zake ziko nje. Ilitegemewa anunue kwa akaunti zetu za madafu.Huyu ni muhaya wa Muleba, wala hajatoka Urusi.
Unatakiwa basi ujenge mazingira ya kuheshimiwa ili uweze kuheshimiwaJiheshimu shaaaa
Wangu hana hizo herufi.
Ahahah,unataka kusema huyu bwana kaongopea jeshi la police?Hivi kumbe passport za tz wanaandika jina la cheo Dr kwenye passport?halafu jina limeandikwa full katika sehemu moja?Hii passport itakuwa fake.