begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,822
- 2,860
Dah nyumba inaenda hivi hivi!?
Kwa uhalisia wa ujenzi hiyo bei ni ndogo, ploti yenyewe sh. Ngapi hapo. Bei ya kutupwaNYUMBA INAUZWA NA BENKI
--------------------------
Benki ya Access Bank ambayo kwa sasa inafahamika kwa jina la Selcom Bank inauza nyumba ya Mteja wao kwa makubaliano maalum ili kuweza kufidia mkopo:
🇹🇿 NYUMBA IPO CHANIKA KIMWANI
📜 UMILIKI: TITLE DEED (HATI)
💼 BEI : 29m (Bei inazungumzika, Piga simu Toa ofa yako)
MAWASILIANO
------------------------
📳 Simu: 0679781081 au 0655782415
🔛Email: leonardngobole@yahoo.com
VIGEZO VYA NYUMBA
---------------------------
☀️ Vyumba vya kulala vitatu 3
☀️ Chumba kimoja ni master
☀️ Choo cha ndani na Bafu
☀️ Seating room
☀️ Dining room
☀️ Jiko
☀️ Store
☀️ Fensi
☀️ Nyumba ina Maji na umeme
☀️ Ukubwa wa Eneo: 400 sq/m
–––––––––––––––––––––––
Ipo mbinguni Je kuna barabara ya kuingia na kutoka kwa gari?NYUMBA INAUZWA NA BENKI
--------------------------
Benki ya Access Bank ambayo kwa sasa inafahamika kwa jina la Selcom Bank inauza nyumba ya Mteja wao kwa makubaliano maalum ili kuweza kufidia mkopo:
🇹🇿 NYUMBA IPO CHANIKA KIMWANI
📜 UMILIKI: TITLE DEED (HATI)
💼 BEI : 29m (Bei inazungumzika, Piga simu Toa ofa yako)
MAWASILIANO
------------------------
📳 Simu: 0679781081 au 0655782415
🔛Email: leonardngobole@yahoo.com
VIGEZO VYA NYUMBA
---------------------------
☀️ Vyumba vya kulala vitatu 3
☀️ Chumba kimoja ni master
☀️ Choo cha ndani na Bafu
☀️ Seating room
☀️ Dining room
☀️ Jiko
☀️ Store
☀️ Fensi
☀️ Nyumba ina Maji na umeme
☀️ Ukubwa wa Eneo: 400 sq/m
–––––––––––––––––––––––
Nashukuru sana mkuu🙏🙏Pengine watakuwa wana mbinu na mikakati mipya Ila nashauri nenda nao kwa uangalifu
uoga wa nini na unaweza kuifanya Air bnb, utengeneze nayo hela.Hizi mali za minada zinakuwaga na shida sana
Inunue tajiri usafiri unaoChanika ,mmh ukiwa na usafiri safi
Sio uoga bali ni tahadhari kutokana na uzoefuuoga wa nini na unaweza kuifanya Air bnb, utengeneze nayo hela.
Kivipi mtani??
Bora umetia neno Ka'mkubwa maana nyumba yenyewe inauzwa kwa mbilinge hiyo.....Hizi mali za minada zinakuwaga na shida sana
Chanika kimwani unapafahamu!?Bei ya kutupa
Kuna mada ngoja niiandike maana hapa sio sehemu sahihiBora umetia neno Ka'mkubwa maana nyumba yenyewe inauzwa kwa mbilinge hiyo.....
Mie Tena ,nautolea wapi🤣🤣Inunue tajiri usafiri unao