Wandugu natafuta nyumba maeneo ya Mikocheni/Msasani au Kawe..iwe na eneo kubwa la nje, nyumba ikiwa ndogo mathalani vyumba vitatu inatosha! isiwe ghorofa na sio ya kushea(samahani kwa kiswahili hiki) pia iwe ndani ya fensi(uzio)
iwe mahali panapofikika kirahisi kutoka barabara kuu.tafadhali ni pm kwa maelezo au maulizo zaidi!
natanguliza shukrani
iwe mahali panapofikika kirahisi kutoka barabara kuu.tafadhali ni pm kwa maelezo au maulizo zaidi!
natanguliza shukrani