MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,009
- 35,006
Wakitumia sheria mnapiga kelelewakitumia hiyo busarapia mtapiga keleleYawezekana watawala wetu wamefuata sheria, lakini hawakutumia busara na hekima. Nawatakia kila la kheri katika kazi yao nzuri ya kuwabomolea nyumba wananchi wao, nayo yaweza kuwa ni ubunifu.