SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,430
- 23,752
It's been a while hatujaonana wakuu. Najua 'tumemissiana' sana au sio wandugu? Haya sasa nimerudi tena na Riwaya ya NYUMA YAKO yenye mahadhu ya Kijasusi na kiitelijensia kama tulivyofanya kwenye riwaya kadhaa zilizopita.
Riwaya hii mpaka sasa inakaribia ukingoni hivyo kwa mtu atakeyihitaji basi asisite kunijuza kwa namba 0685 758 123 - whatsapp.
Riwaya hii mpaka sasa inakaribia ukingoni hivyo kwa mtu atakeyihitaji basi asisite kunijuza kwa namba 0685 758 123 - whatsapp.