Kuna nyuki waliojitokeza ghafla tu na kuanza kupenya ndani kabla sijafunga madirisha vuzuri.
Wakati ninafikiria nifanye nini kuwaondoa,niliwasha feni ili kuwavuruga.Niliwaona wamejikusanya sehemu moja ya kioo cha dirsha,wakatulia.
Hata hivyo baada ya muda,walianza kuanguka chini na wakafa.
Je hali hii ni ya kawaida ukizingatia ninaishi mjini na hii ni mara ya kwanza ninakutana na kitu hiki?
Wakati ninafikiria nifanye nini kuwaondoa,niliwasha feni ili kuwavuruga.Niliwaona wamejikusanya sehemu moja ya kioo cha dirsha,wakatulia.
Hata hivyo baada ya muda,walianza kuanguka chini na wakafa.
Je hali hii ni ya kawaida ukizingatia ninaishi mjini na hii ni mara ya kwanza ninakutana na kitu hiki?