Nyoka wa Makengeza anakuja tena!

Nyoka wa Makengeza anakuja tena!

Mtoto wa Mama Samia

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
772
Reaction score
392
Mtavimba mpasuke lakini Mheshimiwa Chenge, Nyoka msaka pesa anakuja tena. Hatukujari Magufuli kuacha kumnadi jukwaani wakati wa kampeni, tumemchagua kwa kishindo.

Anakuja, kama kawaida yake, polepole anageuza makengeza kusaka harufu ya noti. Kama vile hataki, kama vile zezeta kumbe anasaka pesa. Mtadhani ni mjingamjinga kumbe ametumwa hela. Mkijisahau tu, huyoo anachota mapene, anatuletea watu wake hapa Bariadi kwa wanyantuzu, super race.

Tunamshukuru hela za escrow alitusaidia kujenga maabara. Kubwa zaidi ametujengea kiwanda cha kufyatua mikate... yaani full kushiba. Sasa hivi badala ya asubuhi kula gabhugali ga ndemi, tunakula slesi za mkate na mabhele mabhobhotto(maziwa mgando)...hapo lafudhi ya kinyantuzu lazima iendelee. Na kwa vile rais ni WETU, hapo ni ng'wangaluka hadi Ikulu. Mtaisoma namba.
 
Kama mtu anakumbuka kwao na nyie mnamkubali, haina utata, ila bungeni ukitoa kiwawakilisha nyie, hama mchango zaidi ya kupasha kiti joto.
 
Joka la makengeza ndo chenge duuuh....
Difficult to compare..!
 
Kama mtu anakumbuka kwao na nyie mnamkubali, haina utata, ila bungeni ukitoa kiwawakilisha nyie, hama mchango zaidi ya kupasha kiti joto.
Mkuu, hayo ya hama mchango unayajua wewe, sisi hata TV hatuangalii sana, cha msingi anapiga hela ya maana anatuletea, full sherehe akirudi. Na zamu hii naomba awazidi ujanja!!!
 
Khaa hivi hili nalo ni jambo la kushangilia ???
 
Kweli wanyantuzu ni superrace,jamii ya aryan mpo na yule kijana njalu nadhani sasa mtakimbiza sana maana convoy limetimia
 
anakuja kivingine au no style ile ile ya kupiga hela
 
Mtavimba mpasuke lakini Mheshimiwa Chenge, Nyoka msaka pesa anakuja tena. Hatukujari Magufuli kuacha kumnadi jukwaani wakati wa kampeni, tumemchagua kwa kishindo.

Anakuja, kama kawaida yake, polepole anageuza makengeza kusaka harufu ya noti. Kama vile hataki, kama vile zezeta kumbe anasaka pesa. Mtadhani ni mjingamjinga kumbe ametumwa hela. Mkijisahau tu, huyoo anachota mapene, anatuletea watu wake hapa Bariadi kwa wanyantuzu, super race.

Tunamshukuru hela za escrow alitusaidia kujenga maabara. Kubwa zaidi ametujengea kiwanda cha kufyatua mikate... yaani full kushiba. Sasa hivi badala ya asubuhi kula gabhugali ga ndemi, tunakula slesi za mkate na mabhele mabhobhotto(maziwa mgando)...hapo lafudhi ya kinyantuzu lazima iendelee. Na kwa vile rais ni WETU, hapo ni ng'wangaluka hadi Ikulu. Mtaisoma namba.

kwa namna ulivyoandika wewe sio msukuma wala mnyantuzu sasa sijui lengo lako ni nini?
 
Kweli wanyantuzu ni superrace,jamii ya aryan mpo na yule kijana njalu nadhani sasa mtakimbiza sana maana convoy limetimia
Uko sawa Mkuu, katika kusherekea ushindi wa Njalu,ng'ombe wanane waliaga dunia.Mapipa mawili ya gongo, gimpumu na wandhuki (local beer) zilikuwepo. Huko ni Itilima kwao na Nyani Ngabu,na Ng'wamapalala.
 
Mkuu huyo nyoka wa makengeza aje tu mjengoni tunamsubiri kwa hamu sana. Ila mwaka huu awe makini vinginevyo atarithi eidha chumba cha Yona au MRAMBA pale Segerea ndiyo maana Magufuli alimkwepa kumnadi.
 
Joka La Makengeza ye Ni macho kwenye pesa always na hakuna anayemgusa
 
Back
Top Bottom