Nyoka/mdudu mwenye vichwa viwili

Nyoka/mdudu mwenye vichwa viwili

Nawajua sana. Huku kwetu wanapatikana kipindi cha mvua au kwenye unyevu nyevu. Akikung'ata huponi.
 
Aisee........kijijini kwenu ni wapi na mimi nije nione.....?.....napenda sana kuona aina mbili za viumbe zikiwa pamoja........ .

Kijiji cha Nantare - Kata ya Ngoma, Wilaya ya ukerewe
Nantare -[/QUOTE]

Basi nakuja huko..........asante kwa mwaliko..........
 
Back
Top Bottom