Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,320
Ndugu wana jamvi, jioni ya Leo nilishtushwa na kelele za watoto wakisema wameona nyoka mwenye vichwa viwili pasipo mkia.
Kwanza nilifikiri ni utani wa watoto, lakini baadae nikaamua kwenda kuangalia.
Japo nilikuta watoto wanamuua lakini nilithibitisha ni kweli pande mbili ni vichwa hana upande wenye mkia.
Kwa kweli Mimi ni mara ya kwanza kuona kitu cha aina hiyo.
Je ? Ni jambo la kawaida.
Wataalam wa Elimu ya viumbe mnaweza kutusaidia hii inakuwaje ?
Je ? Kwa kadri ya picha huyo ni nyoka kweli kama sio nyoka ni mdudu gani ?
Kwanza nilifikiri ni utani wa watoto, lakini baadae nikaamua kwenda kuangalia.
Japo nilikuta watoto wanamuua lakini nilithibitisha ni kweli pande mbili ni vichwa hana upande wenye mkia.
Kwa kweli Mimi ni mara ya kwanza kuona kitu cha aina hiyo.
Je ? Ni jambo la kawaida.
Wataalam wa Elimu ya viumbe mnaweza kutusaidia hii inakuwaje ?
Je ? Kwa kadri ya picha huyo ni nyoka kweli kama sio nyoka ni mdudu gani ?