Nyoka Koboko au Black Mamba

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€


Eti anakugonga double double hadi unageuka rangi ya chungwa.
 
1.kwa hiyo kama anamgonga mtu huwa kuna dawa yoyote
2.kama ikigundulika sehemu flani kuna koboko huwa mnachukua hatua gani??
1.Dawa iko hospitalini, na kijijini kwetu kuna mbibi alikuwa ana mitishamba wakikuwahisha utapona kabisa ila iwe within 20 mints..

2. Hakuna kupita maeneo haya

NB

Mpaka haya yakukute na mkutane nae ni very rare

Ila watu sio zaidi ya kumi naowafahamu waliuliwa na huyu nyoka na tahadhari walipewa, especially wachunga ng'ombe na mbuzi



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
mtoto wa masaki wewe kijijini umekaa miaka ipi
 
Video kibao za huyo nyoka zipo youtube unaweza kuangalia na kujifunza maisha yake yalivyo hadi aina ya sumu aliyonayo wameelezea
 
Dawa nyingine chukua kundi la kondoo wengi waswage uwapitishe alipo atagonga mmoja tu na kuishiwa sumu na mnamuua Sasa bila shida,ila ukubali kupeteza kondoo mmoja.
Labda humjui huyu nyoka ,,huyu ni nyoka anayengata zaidi ya mara moja na anauwezo wa kuua watu zaidi ya kumi na tano,,Ikiwa Tembo mkubwa vile akingwata anakufa ndani ya saa moja vipi binadam....
 
Koboko au Black Mambo kisayansi Dendroaspis polyleps ni nyoka mwoga sana ila mkorofi hutumia speed yake Kali kukimbia pale anapohisi hatari na akikutana na Nyegere a.k.a Honey buger ni mchumba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…