BinMgen
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 1,854
- 262
Huyu jamaa asiwadanganye huwezi kupata dstv bure kila baada ya dakika code za dstv zinabadilika
hakuna kisichowezekana kaka! ukiona mtu ana dish 2 za ku! ujuwe iko namna.....fuatilia zaidi,watu wananyonya na wenyewe wanajuwa na wamshindwa kublock hadi sasa.mchina nouma! we acha tu!