Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Asante mkuu endelea kutumwagia vitu.
Mwenye Kakolele Viva Christmas wa Baba Gaston anipatie.
asanteni kwa kutukumbusha
Yaani vinaliwaza sana wakati wa kazi nzito.... uko juu DuduHivi vitu safi sana ukishachoa na bongo flava unatulia na burudani hizi za kale Safi sana
Mkuu tumwagie nyimbo za fundi konde kama unazo.