Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,212
- 1,364
habari zenu wadau,,, jamani mimi ni fun mkubwa sana wa nyimbo za huyu jamaa,, ila kwa lugha kali ya picha ambayo huwa anaitumia, huwa inakua simuelewi vizuri, hasa hasa wimbo wake unaoitwa adella.. Pengine wadau na wataalam wa jukwaa la lugha mngenisaidia.
One luv
One luv