Nyimbo ya samaki ya wazanzibar mmh!

jamani ambaye kausikia wimbo wa Futeni Machozi wa yule jamaa aliyekuwa Fine arts UD (Mwamnyenyelwa i think) auweke hapa. ni wimbo mzuri sana jamani type ya ule wa mjomba (mpoto) nikipata nauli.
huu wa samaki ni matusi matupu at least the way i think, na mbaya zaidi nikasikia ka two years old kangu kanauimba, nilitamani ardhi ipasuke niingie.
 
Jamani kuna nyimbo mpya ya wale offside trick ya kule zenji ambayo nimeiona kwenye tv jana imeniacha hoi

Iile nyimbo mbona imekaaa kimatusi sana

Anasema wanamvyomla jicho na wanamvyombirua birua

Kuna sehemu samaki huchanganywa changanywa kwa mchuzi nyanya na biringani

Kkwa kweli ile nyimbo haijakaa vyema kimaadili au wadau mnasemaje?

Mzee wimbo uko poooa.Its you and your dirty mind.Lipi tusi hapo?Au ndio umekula ngisi?
 
Mzee wimbo uko poooa.Its you and your dirty mind.Lipi tusi hapo?Au ndio umekula ngisi?

Umesoma vizuri au wewe ndio umekula ngisi? Dirty mind??
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=XzPBUGUM7KQ"]You talkin' to me or Mtu wa pwani?[/ame]
 
He he he tuliza boli Nzokanhyilu.Ni hivi:

1.Namwambia Mtu wa Pwani.

2.Nimetumia hiyo clip uliyoweka ili naye auone tena na tena na kujiridhisha kuwa wimbo hauna mawaa.

Umekula ngisi Nzoka.

mara ya mwisho sato mazee.
 
Back
Top Bottom