hiyo wenyewe wanaita....Speech Simplification. Mtu anatafuta njia rahisi ya kutamka maneno ili asipate tabu katika kuwasilisha kile alicho nachoKiswahili kimepatwa na nini sijui siku hizi?Badala ya wimbo,mtu anasema nyimbo.Neno nyimbo linamaanisha ni wimbo zaidi ya moja.Maneno haya siku hizi ni mengi;bule,akuna,apana,amekura,Juma amekua mjanja badala ya amekuwa.Yaani mara nyingine inakuwa ni vigumu hata kumuelewa mtu.