Waoooo wee kama mm, nitumie bas hata pm kama unaoNkumira omukwano =by AZIZI AZION
Ningekuwa kama Adam bombole au Andrew kimbuta ningekujengea nyumba katika jiji la Monaco ombaaa ombaaa.Wimbo: Omba wa JB Mpiana
Hivi ni Hadija au Hidaya..??Hadija wa pepe kale ! Azalakise hawa na ngoma ya kwetu za Gato ! Zikipigwa mida ya jioni ya saa kumi hivi nikiwa beach iliyotulia huku nashushia wine yangu baridii ya Dodoma wine au hata dompo baridi kwenye bilauli ! Holly cow ! Naweza nikalia
Last Emperor...Wadau, napenda tushirikishane nyimbo ambazo kila mmoja wetu anaupenda sana, akiisikia anajisikia yupo on top of the world.Nyimbo ambayo ukiisikia moyo wako unafarijika sana,hata kama una hasira,masikitiko na kukata tamaa inakufariji kupita maelezo.Inawezekana pia ikawa ni nyimbo ambayo unataka kumtuza (dedicate) mtu umpendae kwa dhati ya moyo wako,nyimbo ambayo hata siku hautokuwepo duniani akiisikia akukumbuke.Kwangu mimi nyimbo ninayoipenda kuliko nyimbo zote duniani inaitwa ADDICTED - Imeimbwa na Enrique Eglesias
On bended kneel~Boyz2menEnd of the Road (Boyz to Men).
We kweli Mjamaa masalia ptuuuuCcm mbele kwa mbele