Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,995
Miaka 50 ni umri wa busara hata maandishi yako yamekaa kibongo fleva, wewe huna zaidi ya miaka 30.Sasa kama mimi nagonga 50 huyu kwangu si kabinti kadogo kabisa
Miaka 50 ni umri wa busara hata maandishi yako yamekaa kibongo fleva, wewe huna zaidi ya miaka 30.Sasa kama mimi nagonga 50 huyu kwangu si kabinti kadogo kabisa
Usumbufu gani unaouongelea hapa? Acheni bibi zetu wapumuzike kwanza kwa huo umri menstrushen saiko imeshakata mnawachosha du kuwaingiziz ingizia midudu yenu