Nyie wanaume ambao hamjaoa someni hapa

Alvin A.

JF-Expert Member
Oct 14, 2016
2,868
3,624


Mdada wa kuoa, anatakiwa kuwa mshamba kiana......
Sio mdada anamjua mpaka Cheki Noris,Anord Shozniga,zarumendra...._
huna hata cha kumdanganya?...._

Inatakiwa ukimuuliza "baby unamjua Lukaku?" anakujibu "ni yule rafiki yako wa kijijini?"
Baby hivi ibracadabra unamjua?" anakujibu "si ndo yule mtoto wa mama James?".......
sio mdada anajua matimu ya mpira bongo mpaka ulaya,anaijua hadi sedadu fc ya ugiriki......


mdada ukiangalia nae The Walking Dead au Wrong turn hata hashtuki,amekodoa mi macho tu mwanzo mwisho...._
inatakiwa akiangalia muvi za kutisha anakukumbatia kumbatia "baby toa bn mi ntaota".....au "au maskin si atamuua sasa".....
Sio mdada anaangalia picha la mavampire anashabikia "bora life,linakiherehere sana!....."

Mi napenda mdada nikimwambia "Leo Chelsea anacheza na Man U"....yeye aniambie "kumbe kombe la dunia limeanza?"..........

_Sio mdada anakutajia mpaka first eleven ya watford,mke gani huyo??



FB_IMG_1559939144710.jpeg
 
emoji116.png
emoji116.png
emoji116.png

Mdada wa kuoa, anatakiwa kuwa mshamba kiana......
Sio mdada anamjua mpaka Cheki Noris,Anord Shozniga,zarumendra...._
huna hata cha kumdanganya?...._
_Inatakiwa ukimuuliza "baby unamjua Lukaku?" anakujibu "ni yule rafiki yako wa kijijini?"_
_Baby hivi ibracadabra unamjua?" anakujibu "si ndo yule mtoto wa mama James?"......._
_sio mdada anajua matimu ya mpira bongo mpaka ulaya,anaijua hadi sedadu fc ya ugiriki......_
mdada ukiangalia nae The Walking Dead au Wrong turn hata hashtuki,amekodoa mi macho tu mwanzo mwisho...._
_inatakiwa akiangalia muvi za kutisha anakukumbatia kumbatia "baby toa bn mi ntaota".....au "au maskin si atamuua sasa"....._
_Sio mdada anaangalia picha la mavampire anashabikia "bora life,linakiherehere sana!....."_

_Mi napenda mdada nikimwambia "Leo Chelsea anacheza na Man U"....yeye aniambie "kumbe kombe la dunia limeanza?".........._
_Sio mdada anakutajia mpaka first eleven ya watford,mke gani huyo??

emoji23.png
emoji23.png
View attachment 1162924
Hahaaaaaaa mkuu mkuu umetisha aise ila kweli. Siyo mke mtarajiwa ukimwambia twende club anakutajia clubs kama 15!!
 
_Sio mdada anaangalia picha la mavampire anashabikia "bora life,linakiherehere sana!....."_
Nimecheka sana hapo kwenye blue lakini upande mwengine akiwa hajui kitu nae ataboa. Bora awe kati na kati sio kilaza


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Sasa mbona kazi ipo....
#1 Wazuri wasiolewe
#2 Single mother wasiolewe
#3 Wasomi wasiolewe
#4 Wenye exposure wasiolewe
#5 Waliofanikiwa wasiolewe

Sasa mwisho wa siku mtaoa majini ama???

Anyway...punguzeni hizo inferiority complex maana mkiendelea hivyo mtaishia kufa kwa msongo wa mawazo.
 

Mdada wa kuoa, anatakiwa kuwa mshamba kiana......
Sio mdada anamjua mpaka Cheki Noris,Anord Shozniga,zarumendra...._
huna hata cha kumdanganya?...._
_Inatakiwa ukimuuliza "baby unamjua Lukaku?" anakujibu "ni yule rafiki yako wa kijijini?"_
_Baby hivi ibracadabra unamjua?" anakujibu "si ndo yule mtoto wa mama James?"......._
_sio mdada anajua matimu ya mpira bongo mpaka ulaya,anaijua hadi sedadu fc ya ugiriki......_
mdada ukiangalia nae The Walking Dead au Wrong turn hata hashtuki,amekodoa mi macho tu mwanzo mwisho...._
_inatakiwa akiangalia muvi za kutisha anakukumbatia kumbatia "baby toa bn mi ntaota".....au "au maskin si atamuua sasa"....._
_Sio mdada anaangalia picha la mavampire anashabikia "bora life,linakiherehere sana!....."_

_Mi napenda mdada nikimwambia "Leo Chelsea anacheza na Man U"....yeye aniambie "kumbe kombe la dunia limeanza?".........._
_Sio mdada anakutajia mpaka first eleven ya watford,mke gani huyo??

View attachment 1162924
unaweza tembea sana usipate mwanamke mwenye aina ya ujinga unaoutaka.
 
Sasa mbona kazi ipo....
#1 Wazuri wasiolewe
#2 Single mother wasiolewe
#3 Wasomi wasiolewe
#4 Wenye exposure wasiolewe
#5 Waliofanikiwa wasiolewe

Sasa mwisho wa siku mtaoa majini ama???

Anyway...punguzeni hizo inferiority complex maana mkiendelea hivyo mtaishia kufa kwa msongo wa mawazo.
Hatutawaoa ila tutawagegeda na kuwaacha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom