SatCitAnanda
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 643
- 1,109
Hilo somo baki nalo ufundishe wanao na wajukuu zako!Kwanza ushoga ni nini? Nimegundua Wwatanzania wengi hawajui hata ushoga ni nini, na hapo ndipo tatizo linapoanzia.
Kwani nani katetea kutangazia watoto?Hilo somo baki nalo ufundishe wanao na wajukuu zako!
Mtu yeye yuko msafi celibate hachezei mavi, halafu atoke atangazie watoto wa watu wanaojitafuta wachezee mavi!
Unamsubiri raisi aje akulinde usibanduliwe? Anza kwenye familia yako kulea watoto wako katika makuzi yenye maadili.Niliwahi kusema hapa kwamba hakuna juhudi za makusudi za kukomesha huu ujinga. Simuoni Rais wala kiongozi yoyote mwenye nia ya dhati ya kukomesha ufuska huu. Wanajali matumbo yao tu hawaangalii vizazi vyetu
Sijui hujui au unajitoa ufahamu Watoto as early as grade 6 wanapewa sex education, na lazima tuwape elimu ya ngono na mahusiano as soon as they hit pubertyKwani nani katetea kutangazia watoto?
Kutangazia watoto habari za sex yoyote,gay or straight,hakujatetewa hapa.
Na hihondiyo kasema Samia. Usihoelewa nini?
Ndo hivyo kama mtu yuko celibate (msafi) atuambie mambo ya anayovutiwa ya nini?Kwanza ushoga ni nini? Nimegundua Wwatanzania wengi hawajui hata ushoga ni nini, na hapo ndipo tatizo linapoanzia.
Yanikama wewe unavyoweza kuwa mtu straight (unavutiwa na opposite sex) lakiniukaamuakuwa celibate, na mashoga nao wanawezakuwa hivyo hivyo,wanavutiwa na same sex halafu wako celibate.
Ushoga ni kuvutiwa na same sex, ushoga si kufanya sex na samesex tu.
Wewe vigumu hata kukuelewa, kwa sababu una changamoto ya kujieleza.Sijui hujui au unajitoa ufahamu Watoto as early as grade 6 wanapewa sex education, na lazima tuwape elimu ya ngono na mahusiano as soon as they hit puberty
Hapa umefanya logical fallacy inaitwa "strawman argument".Ndo hivyo kama mtu yuko celibate (msafi) atuambie mambo ya anayovutiwa ya nini?
"Hey I don't fπck but damn sex with dogs is just 👌🏾"
wewe uko celibate ukae kusambaza Habari za kuchezeana mavi za nini?Wewe vigumu hata kukuelewa, kwa sababu una changamoto ya kujieleza.
Sasa hapa unatetea hii sex education au unaipinga?
It's a matter of time before you're back here advocating for beastiality and incest and other deviances in the name of human rightsHapa umefanya logical fallacy inaitwa "strawman argument".
Hatuwezi kuelewana kwa sababu hutaki kunielewa.wewe uko celibate ukae kusambaza Habari za kuchezeana mavi za nini?