Haya mje mnipe mbinu za kutumia nisipate mimbaa
Jamaa ataingia usiku sana tupo tunachart hapa nimemuuliza kuhusu sex kasema we lazima tufanye nikampa mashart ya kupima na kutumia kinga yaani kondomu kasema tutapima ila yeye hawezi kutumia condom maana mimi ni mpnz wake hawezi kufanya sex Kama anafanya na malaya