Nyie Kenya: Ujenzi wa barabara Mbuga ya serengeti nini tatizo?

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
wadau
hebu tulijadili hili
inakuwaje Kenya imeipeleka serikali yetu ktk mahakama ya EAC juu ya ujenzi wa Barabara ktk mbuga ya Serengeti? kwani Mbuga ni yetu na ujenzi wa barabara ni kwa ajili ya kurahisisha utalii na kuwasaidia watanzania wa maeneo hayo ambao wamekuwa wakipata tabu sana kuja maeneo ya DSM,MOROGORO,DODOMA,kwani watanzania wanatumia muda mwingi kupitia kenya ndio waende musoma,lakini pia wakazi wa Serengeti wanaelewa fika usumbufu wanaoupata pindi wanapohitaji kuchukua bidhaa za kuuza hususani Mjini Mugumu!
Pamoja na kwamba wanaongelea mambo ya uharibifu wa njia za wanyama,lakini bado upembuzi yakinifu haujaonyesha madhara hayo.
Mbuga yetu,Barabara yetu,eneo linalojengwa barabara ni letu watanzania,lakini bado wenzetu wanatupeleka mahakamani kwa kitu ambacho ni chetu kwa manufaa ya watanzania.
Nini tatizo?
Wakati umefika kwa Serikali kutekeleza moja ya ahadi iliyoanishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2010 kuwa barabara ya Makutano-Natta-Mugumu-Mto wa Umbu, ijengwe kwa kiwango cha lami bila ya kuwasikiliza hawa majirani zetu.

Govt defends Serengeti road

Arusha. The government has defended the proposed highway across the Serengeti National Park, saying constructing it will neither violate the East African Community (EAC) Treaty nor harm the ecosystem.

Government Counsel Gabriel Malata told the East African Court of Justice that the highway would ease the movement of tourists to and from the area.

When the case was filed in December 2010, he explained, the government had not decided on whether to build a tarmac or gravel road. After a feasibility study, Mr Malata said, the gravel road came out on top--essentially because it would have no effect on the Serengeti eco-system.

Mr Malata, the principal state attorney, asked the court to dismiss the case filed by the Nairobi-based Africa Network of Animal Welfare (ANAW) with costs. He argued that supporting ANAW would frustrate the tourism sector in the entire region "because the road is there to facilitate the movement of tourists".

The EAC partner states were yet to ratify the Protocol on Environment and Natural Resources, he added, making the case premature.

ANAW argues that construction of the road will be hazardous to the environment and animals in particular. The group's lawyer, Saitabao Kanchory Mbalelo told the court that construction of the road across the national park infringes Articles 5 and 3 of the EAC Treaty.
chanzo:http://www.thecitizen.co.tz/News/Go...road/-/1840392/2208404/-/12mix6x/-/index.html

 
Wambie tumestuka atupiti tena Kenya kwenda mara

KABISA
Hii biashara ya kuzunguka kama pia wakati kuna njia fupi za kupita imepitwa na wakati,serikali ikomae na ijenge barabara,hii ni kwa ajili ya kurahisisha na kuleta maendeleo kwa watu wake
 
Mi siku zote huwa nailaumu serikali yaani kwenda mkoa wa tz ni hadi upite nchi jirani? Umeshindwa tengeneza barabara? Wakenya wajanja sana na wanataka kila kitu kiwe chao...ndio maana mi nikimkuta mkey mahali popote natamani kumpiga jiwe au nimpake mavi usoni....wa.se.nge sana hawa watu
 
ni wivu tu unawasumbua wakenya.tukiwaambia tanzania-a sleeping giant is overtaking kenya, wanabisha.
 
wadau
hebu tulijadili hili
inakuwaje Kenya imeipeleka serikali yetu ktk mahakama ya EAC juu ya ujenzi wa Barabara ktk mbuga ya Serengeti? kwani Mbuga ni yetu.


Masuala ya mazingira hayana mjadala. Rasilimali hizi zinakatiza mipaka hivyo ni za wote na kuna sheria za mazingira za kimataifa zinailinda. Nchi yetu imesaini nyingi na hivyo ieshimu.

Mfano Mto Mara unanufaisha Kenya na Tanzania. Vivyo hivyo wanyama wa Serengeti Mfano Nyumbu huishi kotekote. Common resource and Cross-border resource.

Hawa wanyam wakienda Kenya wanakuwa salama zaidi maana serikali imeshindwa kuwalinda na imepeleka msiba wa tembo dunia nzima (Read Inter: Observer, The Guardian and The Dailymail)
 
mi nilijua imeshajengwa kumbe hawa viongozi wetu bado wanawasikiliza tu hawa nyangau..
 
kenya wajinga sana,hawaipendi tz,ndo maana wamejiunga na Rwanda na Uganda Kututenga,hili Jambo La Kagame Kumtukana Rais Wetu Huwa Linaniuma Sana,natamani Tumpindue Kagame!
 

Masuala ya mazingira hayana mjadala. Rasilimali hizi zinakatiza mipaka hivyo ni za wote na kuna sheria za mazingira za kimataifa zinailinda. Nchi yetu imesaini nyingi na hivyo ieshimu.

Mfano Mto Mara unanufaisha Kenya na Tanzania. Vivyo hivyo wanyama wa Serengeti Mfano Nyumbu huishi kotekote. Common resource and Cross-border resource.

Hawa wanyam wakienda Kenya wanakuwa salama zaidi maana serikali imeshindwa kuwalinda na imepeleka msiba wa tembo dunia nzima (Read Inter: Observer, The Guardian and The Dailymail)

nakubaliana na wewe ktk hili,serikali iliamuwa kujenga barabara za juu lakini bado hawa jamaa wamekuwa wakaidi.
maana kama ni mazingira kuharibika yalisha haribika,kipindi wanyama wanahama utaona magari ya watalii yapo hadi ktk zile njia wanazotakiwa kupita wanyama,huko mbugani kuna barabara kibao ambazo watalii wanapita,iweje hii barabara yetu iwe ni kikwazo?
basi tutaijenga kama moja ya barabara za watalii kama zilivyo barabara nyingine ndani ya mbuga zilizonyingi Duniani
 
kenya wajinga sana,hawaipendi tz,ndo maana wamejiunga na Rwanda na Uganda Kututenga,hili Jambo La Kagame Kumtukana Rais Wetu Huwa Linaniuma Sana,natamani Tumpindue Kagame!

hahahahahahaha
hii EAC haina maana sana kwetu,maana kama hata hii barabara inatufanya tupelekwe mahakamani tena na ndugu ambao tupo nao EAC ni hatari sana
 
mi nilijua imeshajengwa kumbe hawa viongozi wetu bado wanawasikiliza tu hawa nyangau..

imejengwa kama Kilometer 5 hivi bado haijafunguliwa hadi sasa kwa sababu ya hiyo kesi,serikali yetu ilisha anza ujenzi,sema wakenya wamekomaa na sisi,wakati ktk mbuga zao kuna barabara kibao na sisi hatujawaingilia wala kwenda mahakani.
sasa inakuwaje kuku wangu wewe unanipeleka mahakamani eti usimchinje hadi ashibe vizuri?
 
Mi siku zote huwa nailaumu serikali yaani kwenda mkoa wa tz ni hadi upite nchi jirani? Umeshindwa tengeneza barabara? Wakenya wajanja sana na wanataka kila kitu kiwe chao...ndio maana mi nikimkuta mkey mahali popote natamani kumpiga jiwe au nimpake mavi usoni....wa.se.nge sana hawa watu

inabidi kukomaa nao tu hakuna kulala,sasa hivi wao wanakomaa na wachina,wana CCTV Afrika yaani kila jambo ni kenya,sijawahi ona hiyo tv ikiongelea ya Tanzania.
 
wadau
hebu tulijadili hili
inakuwaje Kenya imeipeleka serikali yetu ktk mahakama ya EAC juu ya ujenzi wa Barabara ktk mbuga ya Serengeti? kwani Mbuga ni yetu na ujenzi wa barabara ni kwa ajili ya kurahisisha utalii na kuwasaidia watanzania wa maeneo hayo ambao wamekuwa wakipata tabu sana kuja maeneo ya DSM,MOROGORO,DODOMA,kwani watanzania wanatumia muda mwingi kupitia kenya ndio waende musoma,lakini pia wakazi wa Serengeti wanaelewa fika usumbufu wanaoupata pindi wanapohitaji kuchukua bidhaa za kuuza hususani Mjini Mugumu!
Pamoja na kwamba wanaongelea mambo ya uharibifu wa njia za wanyama,lakini bado upembuzi yakinifu haujaonyesha madhara hayo.
Mbuga yetu,Barabara yetu,eneo linalojengwa barabara ni letu watanzania,lakini bado wenzetu wanatupeleka mahakamani kwa kitu ambacho ni chetu kwa manufaa ya watanzania.
Nini tatizo?
Wakati umefika kwa Serikali kutekeleza moja ya ahadi iliyoanishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2010 kuwa barabara ya Makutano-Natta-Mugumu-Mto wa Umbu, ijengwe kwa kiwango cha lami bila ya kuwasikiliza hawa majirani zetu.
Jifunze kupeana source ya taarifa zako, sio kuibua hisia tu.
 
Mi siku zote huwa nailaumu serikali yaani kwenda mkoa wa tz ni hadi upite nchi jirani? Umeshindwa tengeneza barabara? Wakenya wajanja sana na wanataka kila kitu kiwe chao...ndio maana mi nikimkuta mkey mahali popote natamani kumpiga jiwe au nimpake mavi usoni....wa.se.nge sana hawa watu
Hisia kama hizi za chuki hazijengi nchi, mbona sisi hapa Nairobi tunaishi kwa amani na Watanzania ilihali nyie chuki kila siku. Maamuzi ya ujenzi wa barabara ndani ya Tanzania yanafaa kufanywa na uongozi wenyu bila kusubiria Wakenya. Mbona sisi tupo kwenye harakati za kujenga reli hadi Kigali bila kuomba ruhusa ya mtu yeyote. Acha chuki kaka, sidhani hivyo ndivyo aliwafundisha Nyerere.
 
leo kidoooogo umeongea busara!
Hisia kama hizi za chuki hazijengi nchi, mbona sisi hapa Nairobi tunaishi kwa amani na Watanzania ilihali nyie chuki kila siku. Maamuzi ya ujenzi wa barabara ndani ya Tanzania yanafaa kufanywa na uongozi wenyu bila kusubiria Wakenya. Mbona sisi tupo kwenye harakati za kujenga reli hadi Kigali bila kuomba ruhusa ya mtu yeyote. Acha chuki kaka, sidhani hivyo ndivyo aliwafundisha Nyerere.
 
Ni kama vile mahakama ya kadhi, ni ya waislam,
lakini wakriso wa tanzania ndio wanashabikia kuwa hawaitaki kana kwamba wao ndio itakaokuja kuwahukumu.
 
Jifunze kupeana source ya taarifa zako, sio kuibua hisia tu.

unataka chanzo cha nini mkuu,kama chanzo kinatoka kwa mtu nami si mtu? kama chanzo kinatoka kwa mungu basi kisubirie mungu atakupa chanzo.
hujui kuwa hata wewe ni chanzo pia? ama unasubiria hadi uletewe chanzo? tusiwe ni watu wa kusubiria chanzo wakati nasi tunaweza kuwani chanzo.
 
Back
Top Bottom