MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,173
Ndugu, hii ni hadithi niliyoisikia kwa muda mrefu. Sasa naiona kwenye youtube ikiwa imetokea huko Kenya. Ktk kuulizia nimeambiwa ni matukio ya mara kwa mara ktk kanda ya Tanga, Moshi, Arusha na maeneo ya Kenya,
http://www.youtube.com/watch?v=CwLHbGcae2Ehttp://www.youtube.com/watch?v=CwLHbGcae2E
Hebu nipeni uzoefu wenu. Inakuwaje? Kinachongangania ni nini? Ni nyeti zenyewe au mwili kwa ujumla? Au kuna kurukwa na akili? Maana kama unaweza fungua hiyo link utoe assessment yako. Faida yake inaweza kuwa ni upuuzi lakini naona ngono bado ni jambo la kutafuta kwa gaharama yoyote uwezayo.
Kwa kampeni za sasa za kutumia kondom, bado munaweza nganganiana?
http://www.youtube.com/watch?v=CwLHbGcae2Ehttp://www.youtube.com/watch?v=CwLHbGcae2E
Hebu nipeni uzoefu wenu. Inakuwaje? Kinachongangania ni nini? Ni nyeti zenyewe au mwili kwa ujumla? Au kuna kurukwa na akili? Maana kama unaweza fungua hiyo link utoe assessment yako. Faida yake inaweza kuwa ni upuuzi lakini naona ngono bado ni jambo la kutafuta kwa gaharama yoyote uwezayo.
Kwa kampeni za sasa za kutumia kondom, bado munaweza nganganiana?