Kiasili kuna ugomvi kati ya watu wa Butiama (Watiama) na Busegwe (Wasegwe). Barabara ya kwenda Butiama kutokea Musoma ilipaswa kupita Makutano kuelekea Butiama kupitia Busegwe, kitu ambacho watu wa Butiama hawakutaka. Hii inaweza kuwa sababu ya barabara kutokuwepo wakati wote wa uhai wake. Hata hivyo bado iliyojengwa, ilikwepeshwa Busegwe, ikatokea Kyabakari iingie Butiama moja kwa moja. Na hii ni kwa ushauri wa Watiama.
Lakini pia si sahihi kiongozi mkubwa kama huyu, kuacha nyumbani kawo pakiwa vile. Hapa binafsi huwa namuona rais wa sasa kama yuko sahihi, maana si vizuri siku akiondoka, aiache Geita haina kitu