lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,168
- 33,439
Alikua ni dokta,injinia,askari,muumini,mwanafalsafa, mwanasiasa,mwanausalama,mwanamichezo na mwanaharakati nk.
Wakati wa utawala wake tuliona nchi zikikombolewa toka wakoloni kulikuwa na makambi ya wapigania uhuru na haki wa ANC, PAC, FRELIMO ,SWAPO ,SAHARA Magharibi,(PLO) nk.
Michezo, Tz iliwika ktk soka t Stars ilicheza kombe kubwa la Afrika,mkumbuke Filbert Bayi ktk riadha,kumbuka ndondi,kumbuka wanamuziki kama Mbaraka.
Kumbuka wanasiasa mahili kama Sokoine,Salim ,Malechela wakati huo.
Kumbuka wababe wa vita kama Mayunga, Msuguri ,Maafudhi,Kimario, Warden, Kiwelu nk,pia kumbu majasusi wa tz walivyoweza kuwabana majasusi wa makaburu Amini Banda nk.
Kumbuka elimu yetu wanadiplomasia wetu UN, NAM, OAU.
Kumbuka utaifa wetu kupitia Halaiki, Mgambo,JKT.
Kumbuka nchi hatukubaguana kikabila wala kidini,Mzee yule alikuwa binadamu alikuwa ana maadui zake lakini ali deal nao peaceful.
Alivuna maliasili chache za nchi kwa manufaa ya nchi.Hakujilimbikizia mali binfsi wala ya taifa.je huyu sio mahili?
Ninaposema alikua dokta maana yangu huduma za afya zilikua bure na bora,alikuwa injinia wote mnajua juu ya viwanda vya siri na nyeti,askari maana yake usalama wa nchi ndani na nje ulikuwa imara nk.hayo ni machache tu unaweza ongeza unayokumbuka lakini unaweza pinga.
Ni mtazamo wangu tu,nawasilisha.
Wakati wa utawala wake tuliona nchi zikikombolewa toka wakoloni kulikuwa na makambi ya wapigania uhuru na haki wa ANC, PAC, FRELIMO ,SWAPO ,SAHARA Magharibi,(PLO) nk.
Michezo, Tz iliwika ktk soka t Stars ilicheza kombe kubwa la Afrika,mkumbuke Filbert Bayi ktk riadha,kumbuka ndondi,kumbuka wanamuziki kama Mbaraka.
Kumbuka wanasiasa mahili kama Sokoine,Salim ,Malechela wakati huo.
Kumbuka wababe wa vita kama Mayunga, Msuguri ,Maafudhi,Kimario, Warden, Kiwelu nk,pia kumbu majasusi wa tz walivyoweza kuwabana majasusi wa makaburu Amini Banda nk.
Kumbuka elimu yetu wanadiplomasia wetu UN, NAM, OAU.
Kumbuka utaifa wetu kupitia Halaiki, Mgambo,JKT.
Kumbuka nchi hatukubaguana kikabila wala kidini,Mzee yule alikuwa binadamu alikuwa ana maadui zake lakini ali deal nao peaceful.
Alivuna maliasili chache za nchi kwa manufaa ya nchi.Hakujilimbikizia mali binfsi wala ya taifa.je huyu sio mahili?
Ninaposema alikua dokta maana yangu huduma za afya zilikua bure na bora,alikuwa injinia wote mnajua juu ya viwanda vya siri na nyeti,askari maana yake usalama wa nchi ndani na nje ulikuwa imara nk.hayo ni machache tu unaweza ongeza unayokumbuka lakini unaweza pinga.
Ni mtazamo wangu tu,nawasilisha.