Nyerere hakuongezewa Mihula, iweje Rais Magufuli?

Nibozali

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
572
1,055
Pasaka njema wapendwa ila nitoe angalizo kwa hiki kinachoanza kutengenezwa ambacho kwa upande wangu nachukulia kama hatua za awali za kutaka MAGUFULI Aongezewe muda baada ya 2025 ( kama akifanikiwa kupenya 2020). Tunao marais katika historian ya Tanzania ambao walifanya mambo makubwa tena ya kujitoa muhanga lakini hakukuwa na namna yoyote ya majaribio ya kutaka waongezewe muda mmojawapo ni Nyerere.
Chama changu tuheshimu katiba, ni hayo tu
‪+255 756 997 052‬ 20170417_171132.jpg
 
Aliyekwambia kwamba Magufuli anaongezewa muhula ni nani? Mkuu pasaka umeianza mapema sana.
 
inawezekana kwani kwa wingi wa nyumbu wao bungeni wanaweza adhimia kufanya amendment ya katiba ya sasa kama ilovyotokea kwa kagame, mgabe, mseven na nkuruzinza na alivyotaka kufanya joseph kabila! This is africa especially tz!!
 
nyerere hakuongezewa muhula lakini wanachi walitaka aendelee kuongoza. jpm hajawahi kuongea maswala ya kujiongezea muhula ila wanaoongea hivyo ni baadhi ya wananchi.sasa utamuhukumuje jpm kwa maoni ya baadhi ya watu!? wakati jpm hajawahi kuliongelea na naamini hatafanya hivyo
 
Jiandae kisaikolojia mkuu, nitabadili katiba siku sio nyingi. Afu ikifika 2020 mwez wa 8, natangaza STATE OF emegency kwa miezi mi 3, hivyo hakutakuwa na uchaguzi
mkuu mi hata sikupingi wanasiasa ndio mko hivyo siku zote tatizo la leo unahisi utalitatua kesho kutwa ukipewa muda zaidi
 
Back
Top Bottom